Kuelekea Mei Mosi 2022. Yanayotarajiwa, yatakayojiri. Je, Rais Samia atatimiza alichoahidi mwaka 2021?

Kuelekea Mei Mosi 2022. Yanayotarajiwa, yatakayojiri. Je, Rais Samia atatimiza alichoahidi mwaka 2021?

Mimi siko kwenye halmashauri yoyote na ofisi yetu haifungamani na halmashauri .
Naripoti kwa chief executive naye anaripoti kwa waziri
Basi hiyo ndio sababu. Lakini hata huko pia Ni suala la muda tu.

Maana Sheria ya ajira na mahusiano kazini in loophole hizo. Ikitokea zaidi ya nusu ya wafanyakazi wa eneo husika wamejiunga kwenye chama Cha wafanyakazi, basi wanaweza kuanza kuwakata wote ambao hampo chama chochote
 
Watumishi tujitahidi kuwa na plan B za kupambana na hali zetu! Lakini tukiendelea kutegemea kupandishwa madaraja na kuongezwa mishahara tutaendelea kulia.
 
Kwani huyu mama analipwa kiasi gani?

Wasilete kasumba eti mshahara wake ni siri hayo ni mambo ya kizamani yasiyo na msaada.

Mtu anayelipiwa chakula bure, malazi bure, matibabu bure , mavazi bure na bado anavuta mshahara msifikiri atakua na fikra kama zenu.
 
Kwa watumishi wa Umma. Na wengine wasio kuwa watumishi.

Zimebaki siku 11 kufika tarehe 1/52021 siku ambayo huitwa ya wafanyakazi.

ikumbukwe mwaka jana raisi alitoa kauli na hapa ninanukuu " niwahakikishie watumishi wenzangu mwaka ujao tarehe kama ya leo nitakuja na "pekeji" (kwa lafudhi yake)

Siku chache zilizo pita mzee mmoja bungeni ametamka kuwa serikali ipo ktk mazungumzo na vyama vya wafanyakazi na ipo bize kukamilisha miradi kwani nazo ni huduma za msingi ambazo kila mtu anazihitaji na kwamba mazungumzo yakikamilika wataangalia cha kufanya.(swali hapa ni je nyongeza au stahiki za wafanyakazi ni mpaka watu wakae mezani?)

matarajio ya walio wengi.

watumishi walio wengi ni matarajio yao raisi atatimiza alicho ahidi kama sivyo basi watakuwa wamerudishwa kwenye machungu ya the late Joh P. Ya miaka zaidi ya mi 5 ya "ujenzi wa taifa" bila watumishi kukumbukwa
Yapi maoni yako?
Subiri royo tua iishe tutajua mbivu na mbichi
 
Wafanyakazi watumie fursa hii kutoa maoni yao kwenye mabango ya kumuunga mkono Mh Rais sera yake ya uhuru wa kutoa maoni.
 
Kwa watumishi wa Umma. Na wengine wasio kuwa watumishi.

Zimebaki siku 11 kufika tarehe 1/52021 siku ambayo huitwa ya wafanyakazi.

ikumbukwe mwaka jana raisi alitoa kauli na hapa ninanukuu " niwahakikishie watumishi wenzangu mwaka ujao tarehe kama ya leo nitakuja na "pekeji" (kwa lafudhi yake)

Siku chache zilizo pita mzee mmoja bungeni ametamka kuwa serikali ipo ktk mazungumzo na vyama vya wafanyakazi na ipo bize kukamilisha miradi kwani nazo ni huduma za msingi ambazo kila mtu anazihitaji na kwamba mazungumzo yakikamilika wataangalia cha kufanya.(swali hapa ni je nyongeza au stahiki za wafanyakazi ni mpaka watu wakae mezani?)

matarajio ya walio wengi.

watumishi walio wengi ni matarajio yao raisi atatimiza alicho ahidi kama sivyo basi watakuwa wamerudishwa kwenye machungu ya the late Joh P. Ya miaka zaidi ya mi 5 ya "ujenzi wa taifa" bila watumishi kukumbukwa
Yapi maoni yako?
Kila mbuzi atakula kulingana na huruma ya mchungaji.
 
Yupo marekani kutafuta chochote kitu ili atimize ahadi yake aliyoitoa mwaka jana...wafanyakazi jiandaeni kwa neema.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom