Kuelekea Mei Mosi 2022. Yanayotarajiwa, yatakayojiri. Je, Rais Samia atatimiza alichoahidi mwaka 2021?

20% ni kubwa Sana imagine mtu anaepata 1235000 atapata 247000/= kwa hiyo 20% unadhani ni rahisi kiasi hicho?

Inawezekana mfumko wa Bei ya bidhaa ni 37%
20% ni kubwa Sana imagine mtu anaepata 1235000 atapata 247000/= kwa hiyo 20% unadhani ni rahisi kiasi hicho?

Inawezekana mfumko wa Bei ya bidhaa ni37%,hivyo mishahara lazima iongezwe."kila kitu kitapanda" Ikiwemo mishahara.😂😂😂😂
 
Huyo mzee unaesema alitamka hayo maneno syo ya leo ni mwaka 2019.
Fuatilia mambo ndo uje huku na kitu cha maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…