Uchaguzi 2020 Kuelekea Oktoba 28: Ujio wa Dkt. Magufuli mikoa ya Kaskazini wawa gumzo!

Lissu afungie kampeni zake kanda ya ziwa! Tukakomeshe ka Magufuli
 
Kaskazini anaenda kupoteza muda bora angeenda Kusini
 

Ongea yote lakini safari hii Mbowe na Lema ni out.
 
Naamini kabisa watu wangu wa nyumbani Arusha, hamtaniangusha.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wiav tu fokas akoding to awa ouni pipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha utadhani amewahi kusikiliza maoni ya hao pepo.
 

Kijiwe kipi? Nani kaskazini anakaa kijiweni zaidi ya wachache wenye shughuli maeneo yao?
 
Mnaomchukia Magufulimnapatikana JF ila ukienda field hata asingefanya kampeni yeye angesimama tu redioni na kusema jamani nagombea tena basi ushindi kwake.




MAGUFULI4LIFE
 
peremende
Wamuulize Davi Mosha 2015 kilichotokea, hao jamaa wana maono kitambo sio mambulula wa kumpa kura mshambamshamba anayefokea watu hovyo, mbaguzi chuki mkatatili mzushi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…