[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ikiwa Mbeya City baada ya kuupiga vilivyo mpira, Yanga wakaona waruweruwe wakasema wachezaji wako 16.
Yamkini Simba SC watakuwa 20 namna balaa la Okwi, Bocco na Kichuya watakavyo papasa Yanga pale dimba la Mchina.
Hawana namba wataishia subAjibu na kesssy rudini nyumbani kumenoga
Kuna mtu lazima kesho aukalieAaaaah mkuu..! Yaani unamaanisha kuna mtu kapakatwa hapo [emoji16] [emoji16]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Haswa. Hilo halina ubishi mfano kama namna hii View attachment 759663
Leo itakuwa kinyume chake hapo
Leo kazi mnayoHahaaaa. Kabisa yaani.
Hahaaaaa. Sema kazi tunayo bana.Leo kazi mnayo
Nipo nipo nipooo. Muda ndio huooo unayoyoma.
Moja ataonekana anacheza sana zaidi ya mwenzakeHahaaaaa. Sema kazi tunayo bana.
Sababu wote si tutakuwa tunacheza Uwanjani.