Makala josee
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 511
- 447
Baba yake, sahihi zaidi ukisema ni baba yake ' kama hukuwahi kufahamu huyu Butiku ni mtoto wa kwanza wa mwalimuNdugu yake Nyerere ndie chanzo cha uoga,kwa kuwanyima watz exposure ya kuwazuia kutoka nje na alifanikiwa Sana kwenye mind control sababu hakukuwepo kwa mitandao.
Hata hao kinana waliishia kwenda kusuka mipango yao huko nje na kina rostam kisha kurejea mikono nyuma kana kwamba wamemwagiwa majiTatizo kubwa linalotuathiri watanzania tukiacha uoga ni UNAFIKI. Mtanzania kaumbwa na unafiki wa kusifia jambo hata kama linamkera. Endapo kungetokea watu toka siku ya kwanza ya Dkt. Magufuli kuingia madarakani na kufanya mambo ya kinyume na katiba ilipaswa walio karibu yake wazungumze.
Lakini walimpigia makofu huku wakisonya pembeni. Hii ilipelekea kuamini kuwa anachofanya ni sahihi na kuwa hakuna anaeweza kumhoji. Unafiki wetu watanzania ulihalalisha kukandamizwa kwetu kupelekea kufika tulipofika leo.
Bw. Magufuli ni muendelezo wa mfumo ambao ulishawekwa na waasisi wake, mfumo uliojengwa kwa unafiki na nidhamu ya uoga.
Wasio julikana Mzee. Ina maana huwajuwi... Tumechoka mbayaInaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu.
Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.
Maslahi yepi?Mzee Butiki nae maslai yake yameguswa ndiyo maana analialia Sasa!! Apambane na hali yake!!
Haahaa Kati ya mwinyi na butiku nani amechoka kifikra?Mzee Butiku ameshachoka kiumri na kifikra
Arudi Kijiji kwake akapumzike
Lisu ni Yeye.Hivi ni kweli mzee kama warioba na kijana wa makamo kama Pascal Mayalla Uoga wao umetokana na ujinga? Hivi habari Dr ulimboka nani anazitaka tena! Tahadharini Enyi vijana msijazwe mihemko
Hukuwahi kumjuwa Butiku na hutokaa umjuwe labda usubiri akitangulia mbele ya haki kabla yako ndio Tbc watakushushia wasifu wake.Ukiona hivyo ujuwe Magu kamkatia Umeme,maana hao Wazee wengi ndiyo wamejimilikisha Mali zetu! Magu kaza ili wote watoke mafichoni!!
Sio tu lisu hata lingewekwa mawe na JPM mawe yatashinda tuCCM mpya imekataliwa na makundi yote, hata Lissu na Magufuli wakipigiwa kura na Baraza la mawaziri tu pakiwa na tume huru Lissu anashinda.
Hizo Phd zenyewe za kufoji tuu, maana hata kimalkia kuongea ana shindwa na mtoto wa Chekechea pale Filbert Bay School.Una juwa manaa ya ujinga mbona watu wana PhD ila bado ni wa shamba na wajinga
Ktk maprofesa waliojijengea Heshima ni huyu mmoja wapo...Maprofesor wengi wana ujinga unaosababishwa na njaa.
namfahamu profesor mmoja tuu hapa Tanzania aliyekuwa huru sana.nadhani ni Prof.Asadi
Tuna bahati mbaya sana mkuu kuongozwa na genge la wahuni na washambaHizo Phd zenyewe za kufoji tuu, maana hata kimalkia kuongea ana shindwa na mtoto wa Chekechea pale Filbert Bay School.
Hao jamaa ndio wanaongoza unyanyasaji kwa wapinzaniHuu Ujumbe umfikie pia Kamanda Sirro na Mahera wa tume.
Hakuna jibu sahihi zaidi ya alilolitia Mzee Butiku.Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Unaweza ukawa professor ukawa hujaelimika!.Mzee anaulizwa swali juu ya chanzo cha uwoga, anatoa sababu nyepesi kweli bila kuangalia kwa kina mila, desturi, na government systems.
Kama ni ujinga mbona mpaka ma-profesa wameshikwa na woga? Au alikuwa anamaanisha 'upumbafu'?
Siyo mwenge ni kuminywa kwa upatikanaji habari na kushughulikiwa walikoshuhudia tangu nchi ingali changaMwenge ndio ulikuwa unawafanya watz kuwa wajinga na waoga, this time sababu haupo we uoni akili za watz zilivofunguka.
Washamba hao!! hawawezi kutia pua zao hapa!!cremea /bia yetu na wenzake huwaoni hapa
We hukumbuki Kaka yake alipigwa vibao na bwana yuleee! bashite!!Mzee anatulaumu wa Tz kwa kuwa waoga. Ameshindwa kukubali kuwa jasiri na wasema kweli siku hizi wanaishia kupotezwa, kufunguliwa kesi za ovyo, kupigwa risasi, n.k. Awe wazi.
Asipidishe maneno. Amtizame shetani machoni na amwambie: Wewe ni Shetani. Hapo ndipo tutaamini kuwa yeye ni jasiri kama alivyo TAL.