Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Leo ndo nimeamini madaraka matamu Sana Aiseee, dah[emoji22] bila vpn Tanzania sijui ingekuwaje kimawasiliano
 
Reactions: BAK
Bora tu,

yaani kuna watu wanachochea kuni ili nyumba yetu iungue

Na wanadhani tutaendelea kuwachekea tu
wapumbavu nyie, mnadhani mtawafunga watu midomo wasifanye mabadiliko kwa kuzima mitandao ..kipigo cha mbwa koko kiko pale pale..tundu lissu for presidency
 
Sitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? Ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Na mimi naona hivyo hivyo
 
Kwanini wanazima sasa ili wapite kirahisi au ni ujinga tu unawasumbua @vodacomtanzania @tcratz
 
Ni Magufuli Tenaaaa.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mkuu sisi tuliochelewa ku download VPN imekula kwetu... hata app store haifanyi kazi.
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.
 
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.

Kwa hiyo ni useless sio kwa wasap.. JF ipo na hawajaifungia king reality so wakijikisia kufungua wafungue tu mie nala raha tu
 
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.

Ni kwasababu wamechelewa ku download vpn kama mimi.
 
Naangalia TBC hapa wanasoma jumbe kutoka mitandao ya kijamii ... hahhaha dah!
 
Kwa hiyo ni useless sio kwa wasap.. JF ipo na hawajaifungia king reality so wakijikisia kufungua wafungue tu mie nala raha tu
Unajua na jf ikifunguwa hata baadhi yao nao watakuwa gizani naona wameiacha kidogo. Ila matokeo yatakapo anza kutolewa sina hakika sanaa kama tutaonana humu huwenda mtandao ukawa down.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…