Kuna baadhi watakutaka ujisajili lkn wengine hakuna kujisajili unakonekti tu kitu hiyo.. maelekezo yote watakuonyeshaNiki download kuna namna ya kuunganisha au ni auto mkuu
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Leo ndo nimeamini madaraka matamu Sana Aiseee, dah[emoji22] bila vpn Tanzania sijui ingekuwaje kimawasilianoTanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Na wao wanahitaji VPN kama Sisi!?Nlidhani wao wanafull access ya mitandao.Nyie si ndio mnasemaga mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Saa Mbovu.Hapo ndiyo ujue kuwa wanawazidi kila kitu isipokuwa wanawaachaga tuu! Pigeni umbea wenu sasa.
Bora tu,Afadhali imefungwa
Well saidKama wanaona inasaidia kwa usalama wa taifa waifunge kabisa sio tweeter tuu ata mitandao mingine. Usalama wa nchi hii ni muhimu kuliko hizo tweeter na zinginezo.
wapumbavu nyie, mnadhani mtawafunga watu midomo wasifanye mabadiliko kwa kuzima mitandao ..kipigo cha mbwa koko kiko pale pale..tundu lissu for presidencyBora tu,
yaani kuna watu wanachochea kuni ili nyumba yetu iungue
Na wanadhani tutaendelea kuwachekea tu
Na mimi naona hivyo hivyoSitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? Ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Mi napiga mzigo fresh, sema tulitahadharishwaNa mimi naona hivyo hivyo
Aiseee Mimi cpati kabisa chochoteMi napiga mzigo fresh, sema tulitahadharishwa
Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.Mkuu sisi tuliochelewa ku download VPN imekula kwetu... hata app store haifanyi kazi.
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.
Poleni. Sana. Mimi hapa napasua anga huku na kule mtandaonj. Japo whatsapp sijapokea meseji yoyote tangu jana mchana. Na hata ninazotuma zinaonekani haziwafikii walengwa.
Unajua na jf ikifunguwa hata baadhi yao nao watakuwa gizani naona wameiacha kidogo. Ila matokeo yatakapo anza kutolewa sina hakika sanaa kama tutaonana humu huwenda mtandao ukawa down.Kwa hiyo ni useless sio kwa wasap.. JF ipo na hawajaifungia king reality so wakijikisia kufungua wafungue tu mie nala raha tu