Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeweka nikapata twitter,sasa instagram siipati.Msaada VPN au ww ndio unaamka..?
Ndo maana huolewiAfadhali imefungwa
ngoja nioneWadau sijui kama itakua kwa upande wangu au ni sote ila kiukweli twita kwa sasa haifanyi kazi huwez tuma ujumbe au kupokea hata kama una kifurushi cha namna gani yaan ninahis utabir umetimia.
halotel ndio kabisaaaa haifungukiWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Weka server ya USA, Canada, UK au Germany utapata social networks zote walizo block! Tumia proton vpn, vpn master au Hotspot ShieldNimeweka nikapata twitter,sasa instagram siipati.
Naomba msaada zaidi.
halotel ndio kabisaaaa haifungukiWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
naitumia hiyo mwezi wa 4 sasa sijawahi kujuta kwakweliWeka server ya USA, Canada, UK au Germany utapata social networks zote walizo block! Tumia proton vpn, vpn master au Hotspot Shield
Mimi niko Nevada, USA! Asaiv nawazoom tu huko TZ kama kawa [emoji41][emoji41]
Hatta JF itapotea hewani, tu hyo vpn itaweza fanya kaziTumia ProtonVPN wewe,the worst is yet to come!
Asante kwa maelezo mazuriNenda playstore pakua proton VPN, kisha fanya registration kwa kujaza emails na password, kumbuka kubonyeza kitufe cha free,ili utumie bure kwa muda fulani. Kisha utatumiwa ujumbe kupitia email yako utaverify, ndio utaanza kutumia
Utaletewa unataka uaccess internet kutoka nchi gani ziko nyingi mm natumia ya Netherland, ukitaka ata USA ni wewe
Hapo utaweza ku bypass huu utopolo wa internet ya kupangiwa na vodacom. Sio tu Twitter, kesho internet inazimwa nchi nzima. Maana hata sasa haifanyi kazi vizuri
WEka VPN kijana uburudikeTwitter imepisha uchaguzi upite kwanza
VPN itafanya kazi.Kitu pekee ambacho kitazuia VPN kufanya kazi ni wakate internet mazima Tanzania.Kama internet ipo halafu wakafungia mtandao fulani Tanzania bado utaendelea kuupata huo mtandaoHatta JF itapotea hewani, tu hyo vpn itaweza fanya kazi
Hawa Vodacom ni Washenzi sana kumbeWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.