Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Safi sana bado wakate na Umeme CCM oye
 
Oya sio voda pekee hata Tigo haiwezi ku fungua
 
Ni tatizo la mitandao yote ita kuwa wame restricts Twitter
 
Wadau sijui kama itakua kwa upande wangu au ni sote ila kiukweli twita kwa sasa haifanyi kazi huwez tuma ujumbe au kupokea hata kama una kifurushi cha namna gani yaan ninahis utabir umetimia.
ngoja nione
 
Nimeweka nikapata twitter,sasa instagram siipati.

Naomba msaada zaidi.
Weka server ya USA, Canada, UK au Germany utapata social networks zote walizo block! Tumia proton vpn, vpn master au Hotspot Shield

Mimi niko Nevada, USA! Asaiv nawazoom tu huko TZ kama kawa [emoji41][emoji41]
 
Meko aliaminishwa kwamba uchaguzi huu atatangazwa akiwa amelala mkewe tu.
 
naitumia hiyo mw
Weka server ya USA, Canada, UK au Germany utapata social networks zote walizo block! Tumia proton vpn, vpn master au Hotspot Shield

Mimi niko Nevada, USA! Asaiv nawazoom tu huko TZ kama kawa [emoji41][emoji41]
naitumia hiyo mwezi wa 4 sasa sijawahi kujuta kwakweli
 
Nenda playstore pakua proton VPN, kisha fanya registration kwa kujaza emails na password, kumbuka kubonyeza kitufe cha free,ili utumie bure kwa muda fulani. Kisha utatumiwa ujumbe kupitia email yako utaverify, ndio utaanza kutumia

Utaletewa unataka uaccess internet kutoka nchi gani ziko nyingi mm natumia ya Netherland, ukitaka ata USA ni wewe

Hapo utaweza ku bypass huu utopolo wa internet ya kupangiwa na vodacom. Sio tu Twitter, kesho internet inazimwa nchi nzima. Maana hata sasa haifanyi kazi vizuri
Asante kwa maelezo mazuri
 
Nimewasha VPN twitter nikaingia vizuri tu, ila nilipojaribu kuingia Jamiiforum ikagoma ku access Jf, mpaka imebidi kuzima VPN ndo ikapata access. [emoji3526]
 
Back
Top Bottom