Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyooka huyo mwendawazimu wenu! Alifikiri watanzani wote wajinga kama disii wa kisar@we!Utanyooka tu wewe!
Ni woteJamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
usisahau kesho kura yako kwa mbeba maonoJamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Una akili boss?? mawasiliano ni mhimu sana kulinda usalama.nchi ikivamiwa mtapataje taarifa?Laiti mngejua mamlaka zimefanya haya Kwa ajili ya usalama wa taifa letu mngefunga midomo yenu michafu ya kulalama.
Hadi WhatsApp nayo kwishineyLeo nimejaribu kuingia twitter lakini naona ina load tuu wala haifunguki. Hili tatizo lipo kwangu tu au kwa maana kuna mtu nimeona uzi wake analalamika Youtube pia haifunguki. What's wrong?!
[emoji2955][emoji2955][emoji2955]Wewe ni Zuzu?Ina maana hadi leo huna habari kuwa Tanzania ipo chini ya udikteta?!
Tigo!!Jamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Sio ww tuu, mm natumia Airtel hali ni hiyo hiyo, naona wakuuu wameshafanya yao tayari.Jamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Hata Airtel naona wanablock kabisa YouTubeMkuu wengi tu wanapitia hilo na si tigo tu hata Voda na mitandao mengine!
Tokea nilipogundua kuwa wewe ni CCM nimeanza kukuona kuwa ni takataka kabisa![emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Acha ujinga, suala la kufunga mitandao ipo dunia mzima kwa lengo la kulinda nchi. Ht U.S.A baada ya matokeo walimtuhumu facebook kwa kupanga matokeo.Hiyo ni kazi ya kiongozi muovu,na mwendawazimu!
Picha zake zimejaa kila mahali, limeongea peke yake miaka5, limepiga watu risasi limejeruhi na kuua, linatangazwa lenyewe tu kwenye TV na maredio, lkn bado linazima mitandao na litaiba kura!
Limeanza kuua watu, na litaendelea kuua!
Madikteta wamefunga matandao kwa hofu ya kushindwa uchaguzi.Leo nimejaribu kuingia twitter lakini naona ina load tuu wala haifunguki. Hili tatizo lipo kwangu tu au kwa maana kuna mtu nimeona uzi wake analalamika Youtube pia haifunguki. What's wrong?!