Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Andika apk pure.
Ikifunguka.
Search ufo vpn.
Utadownload alaf utaconnect .mabeberu haoo
Sasa play store haifunguki mkuu
Screenshot_20201028-090253.jpg
 
Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Upuuzi mtupu, hakuna chama mbadala zaidi ya CCM. Meza au Tema. Watanzania sio manyumbu, kuchagua chama binafsi cha Mbowe kuwaongoza. Wenyewe mmeshindwa kujiongoza ndio itakuwa mama Tanzania?. Kafanyeni biashara nyingine.
 
Nenda browser andika apkpure.
Alafu Sach ufo vpn download.alafu ukishainstall connect..
Credit member mmoja wa jamii forum.
Unafanyaje mzee ili niweze kutumia VPN kwenye simu yangu. Naomba msaada
Screenshot_20201028-090253.jpg
 
Upuuzi mtupu, hakuna chama mbadala zaidi ya CCM. Meza au Tema. Watanzania sio manyumbu, kuchagua chama binafsi cha Mbowe kuwaongoza. Wenyewe mmeshindwa kujiongoza ndio itakuwa mama Tanzania?. Kafanyeni biashara nyingine.
Watanzania hawawataki ndo maana wanakitaka chama binafsi Cha mbowe usitufokee, Kama vp mngefuta vyama vingi mbaki peke yenu
 
Back
Top Bottom