Ndo ameshasema sasa, wewe ni nani hadi umpinge mheshimiwa na heshima zake?CCM siyo kama Chadema....... Chama ndio kinapitisha mgombea wa kupambana na wengine siyo yeye Waitara atupangie!
Hao wahamiaji haramu watakatwa na wenye ccm yao jengo la bunge atalionea kwenye tvAkumbuke akisikika tarime vijijini asijue ni kijijini kweli huko ndio wakurya wakorofi hupatikana kuna maeneo mawili magumu sirari na nyamongo aisee izo sehemu ndio koo za kikurya korofi huishi huko sasa ni bora angeenda hata tarime mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijuavyo mimi Tarime mjini na vijijini CCM imeandaa wagombea wazuri kabisa.Ndo ameshasema sasa, wewe ni nani hadi umpinge mheshimiwa na heshima zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inyeshe mvua liwake jua Waitara Hapati kamwe Ubunge UkongaNijuavyo mimi Tarime mjini na vijijini CCM imeandaa wagombea wazuri kabisa.
Yeye Waitara apambane tu na Paul Makonda hapo Ukonga!
Ndio ameshakimbia hivyo...... Amemvamia mama Gaudensia huko Tarime jasho litamtoka!
Ku
Kule hata wizi ni ngumu sana, Waitara ni jrani yangu huko kijijni. Sijajua kapiga hesabu gani iliyompa hiyo jeuri
Ndio ameshakimbia hivyo...... Amemvamia mama Gaudensia huko Tarime jasho litamtoka!
Huku nako kugumu kweli kweli kwake
ahaaaNaibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime vijijini. Ameongeza anatamani CHADEMA kimpitishe JOHN HECHE kugombea Jimbo hilo.
Nauona Mwisho wa Heche katika siasa za Tanzania ikumbukwe katika siku za hivi Kari uni alishindwa na ESTER MATIKO katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Serengeti.
View attachment 1311065
Hivi hata viweza muraa wakurya wa maeneo hayo muraa siyo watu hao ni viumbe hai huko ndo koo za kina heche ziliko koo korofi sijapata zishuhudia Mara kwa ujumlaUsimpangie ! Bhita ni bhita tu Mura ![emoji35]...[emoji1787]
Kwani Heche ana hati milikiYaani amng'oe Heche?????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata angeenda kugombea akiwa Waziri full na awe RPC at the same time awe msimamizi wa uchaguzi hapo atachemka
Sent using Jamii Forums mobile app