Uchaguzi 2020 Kuelekelea Uchaguzi mkuu 2020: Tupe tetesi na maoni yako, unapendekeza nani agombee wapi na nafasi gani?

Uchaguzi 2020 Kuelekelea Uchaguzi mkuu 2020: Tupe tetesi na maoni yako, unapendekeza nani agombee wapi na nafasi gani?

Tarime sio ukonga chapombe ataleta maendeleo gani sasa alishindwa kuleta akiwa cdm kashindwa pia akiwa ccm.Jimbo la ukonga ndilo lenyewe mahandaki kuliko majimbo yote dar msimu Wa mvua hunapesa ujafika au kutoka kwako barabara hazipitiki
 
Akumbuke akisikika tarime vijijini asijue ni kijijini kweli huko ndio wakurya wakorofi hupatikana kuna maeneo mawili magumu sirari na nyamongo aisee izo sehemu ndio koo za kikurya korofi huishi huko sasa ni bora angeenda hata tarime mjini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wahamiaji haramu watakatwa na wenye ccm yao jengo la bunge atalionea kwenye tv
 
Kwahiyo wananchi wa Ukonga hawamhitaji tena au ni yeye hawahitaji tena wa Ukonga? Waitara ameichoka Ukonga mara hii? Mbona anawafanyia watu wa ukonga kama wahuni wanavyowafanyia machangu, kwamba akishatokwa na kilichomleta basi anasepa anatafuta mwingine!
 
Naibu waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI amesema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime vijijini. Ameongeza anatamani CHADEMA kimpitishe JOHN HECHE kugombea Jimbo hilo.

Nauona Mwisho wa Heche katika siasa za Tanzania ikumbukwe katika siku za hivi Kari uni alishindwa na ESTER MATIKO katika kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Serengeti.
View attachment 1311065
ahaaa
IMG_20191108_073527.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfanyabiashara mwenye Asili ya Kihindi maarufu "Mwanza Huduma Ltd" amemwaga noti kwa Wajumbe wa CCM Katika kunyemelea Ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini. Kufuru hiyo imefanyika nyumbani kwa Mwenyekiti wa CCM aliyekuwa akiongoza kikao cha Wajumbe hao nyumbani kwake.

Katika Mkakati huo wa siri inadaiwa Katibu Mwenezi wa Wilaya ameachiwa fungu 'nono' ili kusambaza kwa wajumbe ambao wako Vijijini. Mtoa taarifa anasema baadhi ya Wajumbe wamelalamika kupewa Laki Moja na wengine kupewa Laki mbili na Mifuko ya saruji.

Baadhi ya Wajumbe ambao hawakuhudhuria vikao hivyo wameelekezwa kumuona Ndugu Nasoro Suleiman ambaye ni Wakala maarufu wa Mpesa ili kupata 'Mgao' wao. Walipoulizwa kwanini wanatoa rushwa bila kuogopa, wamedai kuwa TAKUKURU Bunda wamewekwa 'sawa'.

Uongozi wa CCM Wilaya ya Bunda utazamwe kwa jicho la Tatu kwani wanapenda Hela mpaka ya 'kutolea'
 
Tangu lini CCM ikashida bila kutoa hela? CCM inatumia UJINGA, UMASIKINI, NA UELEWA MDOGO wa watanzania kuchukua mamlaka, na hii ndio sababu kubwa ccm haiwezi taka watz wapate elimu bora ndio waweze kujua jinsi ya kuchagua viongozi,
 
Back
Top Bottom