Kuendelea kumtaja Hayati Magufuli kwa mabaya ni upuuzi wa ajabu

Ingekuwa wewe ndiye uliyepigwa Risasi thealthini,Mtoto wako alipotezwa, Ndugu zako waliuawa(Baba au mama yako) ulibomolewa nyumba yako Morogoro Road bila kulipwa hata mia nazani ungekuwa unamlaani milele hata kama amekufa
Tungekuwa muda mwingi tunazungumzia mabaya ta shetani na watu wote wajue ubaya wa shetani kama ifanyikavyo kwa Magufuli basi naamini wengi tungekuwa wachamungu.
 
Umemaliza yote mkuu
 
Amini usiamini wanasiasa wanaomtaja magu kwa ubaya wake na kujitia upofu wa mazuri yake,2025 ndio watakuwa vinara wa kumsifia jpm kishingo upande ili wapate kura.
 
Reactions: nao
Ukitaka kumsifia unaruhusiwa, na kama unamtetea mtetee kimpango wako. Hao marais wabaya walioko hai waongelee ww. Sisi tuko na dhalimu Magufuli fullstop.
Kwahiyo umekubali hoja ya mleta mada kwamba mmeng'ang'ania kueleza maovu ya mtu aliyekufa kwa sababu ya hisia zenu tu ila hakuna faida kuzungumzia maovu ya mtu aliyekufa hayupo tena na kuacha kuzungumzia waovu waliyo hai ambao bado wanaendelea kutenda maovu?
 
Umeandika jambo la mbolea sana mkuu.
 
Ndio maana mleta mada haoni faida ya kutumia muda mwingi na nguvu kueleza au kufukua maovu ya awamu ya tano ili hali hata awamu zilizopita hakukuwa na hiyo closure na ndio kwanza hao viongozi wamejiwekea kinga ya kutokushtakiwa.
 
Yule mzee alikuwa Muuaji na halitapingika hilo,,, shetani kabisa Yule tutamlaani kila siku na kuanika mabaya yake hadi vizazi vijavyo vijue kweli tuliwahi kuwa na Shetani Ikulu
Tungekuwa muda mwingi tunazungumzia mabaya ta shetani na watu wote wajue ubaya wa shetani kama ifanyikavyo kwa Magufuli basi naamini wengi tungekuwa wachamungu.
 
Tungekuwa muda mwingi tunazungumzia mabaya ta shetani na watu wote wajue ubaya wa shetani kama ifanyikavyo kwa Magufuli basi naamini wengi tungekuwa wachamungu.
kwani hujui kwamba yule mzee ni Jamii hiyo hiyo ya shetani
 
Marehemu alikua dikteta killer jambazi kibaka mwehu af unataka tumsifie

Maisha kla mtu anauhuru wa kusema na kuongea ttzo lenu wafuasi wa marehemu mnatabia km za marehemu mnataka wote tuwe na mawazo sana huo ni udikteta km wa baba yenu jiwe
Sawa alikuwa dikteta na jambazi na muuwaji, sasa kutumia muda mwingi kuzungumzia hayo mabaya yake (kuliko kuzungumzia mabaya yaliyopo sasa) je kunaleta faida au ni suala kihisia kupunguza hasira?
 
Shetani utaachaje kimtaja kwa ushenzi wake?
 
Mungu ni Mwema siku zote
 
basi kaa huko unyamaze kimya kuna watu bado wana vidonda wakivitizama tu wanamkumbuka huyo muuaji na kuongea kwao inawapa faraja
This is collective therapy for all victims of Magufuli era and need to start identifying the people who were his foot soldiers because he didn’t do the work alone he gave the order’s and they were followed by??
 
Nikweli Shetani anashawishi watu ndiyo maana aliweza pia kumshawishi Magufuli awatendee wengine uovu na sisi tunakemewa wengine wasije kushawishiwa kama Magufuli.
Ukiwa na maana wasiwe viongozi aina kama ya Magufuli Kwamba hapo unakusudia wanasiasa? Kwa sababu hapa Magufuli anazungumziwa kama kiongozi ila shetani anawishi uovu kila mtu hadi sie tusio viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…