Uchaguzi 2020 Kuenguliwa kwa wagombea: Pemba wahimizana kuandika usia kabisa maana sasa wako tayari kwa lolote

Huu msamiati wa haki ni mgumu na mchungu kwel kwa chama chakavu
 
Tatizo sisi hatuna ndugu huko hivyo hatujali.
 
Wenye jukumu la kuhakikisha Taifa liko salama mnaacha watu wachache waliharibu Taifa? Huo ndio Uzalendo mpya?
 
Mzaha mzaha hutumbua usaha. Baadae tutafuta mchawi wakati tunawachekea wachache wanaolazimisha mambo
 
Zitto mjanja sana ametafuta loop hole bara akaona pagumu ameenda kuwafanya wapemba chambo anyway kupanga ni kuchagua Kama ni wosia waandike kila Jambo ni hiari kwa nafsi ya mhusika
 
Wataanza na yeye kwanza kabla ya wengine!
 
Kilichofanyika Pemba ni kusaidia Chadema kubaki kuwa Chama kikuu cha Upinzan kwa kuwa ni hatare sana kuwa na ACT kama chama kikuu cha Upinzani
 
Labda hao hawakuwepo wakati wa Rais Mkapa lakini kama walikuwa watu wazima hawawezi kutia mguu barabarani.
Pumbavu wewe, watu wanahimiza watawala watende haki, wewe unakumbusha mauaji ya mkapa.
Hivi vitisho vyenu vinawatia watu usugu mioyoni
 
Mashujaa walipata kipigo cha mbwa koko.waliikimbia nchi.wajalibu tena tutawaletea jeshi kanda maalum kutoka tarime ndio size yenu.hayo maneno utajutia ukiwa kilema au umedead
Inaonekana ulizaliwa kipindi cha Kikwete. Kama ungezaliwa nyuma ya hapo ungewajua Wapemba vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…