Ila yaweza kuwa kweli mkuu maana hata ndevu sina🙌😂😂😂Zamani nilikua nafananishwa na watu wengi mara huyu aseme kaniona Dodoma mwingine Kigoma mara hivi mara vile...
Ila maisha yalivyochanganya na kunichapa sura yangu asili ikapatikana. Sasa hivi nina miaka 12+ sijawahi sikia hiyo kauli.
Nikwambie tu bado una sura ya maziwa ya mama, maisha hayajachanganya... Huoni watoto wachanga wengi wanafanana?
Naweza kutana na mtu akawa ananiangalia sana. Atatafuta namna tupige story kidogo. Then ataniuliza unajua bana umefanana sana na mtu mmoja hv yaani kila kitu hadi kuongea.Mimi nahisi wakati Mungu ananiumba, nilikuwa kwenye toleo la watu wengi sana...
Kuanzia shule mpaka maisha ya kawaida nafananishwa kila leo...
Nimeshazoea, sielewi hao watu ni kina nani niliofanana nao hivyo!!!
Kuna mmoja niliona kwenye tangazo la nywele, yaani yule nimimi kabisa, ni kama nilikuwa najiangalia kwenye kioo...
Wewe ni kibonge afu mfupi?Hello JF
Nimejikuta nalazimika kuleta uzi sasa maana hii imeanza kunishangaza.
Tangu nakuwa ni kawaida kukutana na watu then wananiambia nimefanana na either ndugu yao fulani au jamaa zao. Imefika hatua now nimekuwa wengine mpaka hunipiga picha. Wakawaonyeshe wahusika.
Ikafika muda nikawa nahesabu na kunote mahali, mpaka sasa ni zaidi ya watu 15 ambao nishakutana nao kisha wakanifananisha na jamaa zao.
Ingawa binafsi kihalisi nishakutana na watu watatu ukitutazama ni kama mapacha au ndugu wa tumbo moja. Uzuri mwingine nilikuwa nimemtangulia kidato shule moja.
Kiukweli inashangaza sana.
Mmmh pengine mna undugu....hisia hazidanganyiMi nilifananishwa na watu watatu afu wa NNE nikaja onana nae mi mwenyewe airport.... Mwanamke mwenzangu ....aisee nilishtuka hata kumsimamisha niliogopa....ila tulipogongana macho tulitazamana kwa muda mrefu afu kila MTU hamwambii kitu mwenzie....Mimi mwili ulisisimka...nilijihisi upendo wa hali ya juu usioelezeka(ni kama mshtuko ulikuwa wa furaha..hata sielewi) ...njia nzima tangu tupishane ni full kugeukiana.Daaa,kumbukumbu isiyosahaulika
Mimi pia ilikuwa hivyo watu ndio waliniambia. Eti kumbe una mdogo wako anasoma hapa. Hee kuja kumuona ni mimi kabisa. Dogo hata akawa anapenda sana kuja class kwetu.😄Sasa mkuu we huoni jinsi unavyofanana sana na Ronaldinho Gaucho?😀
Nakumbuka wakati niko shule sekondari kuna siku marafki zangu wamenifata wananiambia "aisee mwanetu kumbe una mdogo wako kahamia hapa hata hutuambii...?" Kuja kukutana na huyo mdogo wangu sasa... ni kama dagaa kwa jinsi tulivyofanana!! Sijui aliishia wapi yule dogo
Same to me, hakuna sehemu naenda nikose kuambiwa nina twin huko...Naweza kutana na mtu akawa ananiangalia sana. Atatafuta namna tupige story kidogo. Then ataniuliza unajua bana umefanana sana na mtu mmoja hv yaani kila kitu hadi kuongea.
Mama mwingine nilikuwa tu napita akaniita yaani anasema nikajua ww ni mwanangu maana mmefanana kila kitu.🙌😂😂
Ungemsalimia mkajenga urafiki usikute baba yako alichepukaMi nilifananishwa na watu watatu afu wa NNE nikaja onana nae mi mwenyewe airport.... Mwanamke mwenzangu ....aisee nilishtuka hata kumsimamisha niliogopa....ila tulipogongana macho tulitazamana kwa muda mrefu afu kila MTU hamwambii kitu mwenzie....Mimi mwili ulisisimka...nilijihisi upendo wa hali ya juu usioelezeka(ni kama mshtuko ulikuwa wa furaha..hata sielewi) ...njia nzima tangu tupishane ni full kugeukiana.Daaa,kumbukumbu isiyosahaulika
Njia pekee ya kuondokana na tatizo hilo ni kubadilisha muonekano kama unapenda kunyoa vipara anza kufuga nywele na ndevu kama unapenda kufuga nywele anza kunyoa style tofauti tofauti ili kupata upekee wako.. ni hatari sana kufananishwa fananishwa na watu inaweza kukuletea matatizo huko baadae niliwahi kosa mchongo fulani 2010 kwa kufananishwa na mtu fulani nisiyemjua..Hello JF
Nimejikuta nalazimika kuleta uzi sasa maana hii imeanza kunishangaza.
Tangu nakuwa ni kawaida kukutana na watu then wananiambia nimefanana na either ndugu yao fulani au jamaa zao. Imefika hatua now nimekuwa wengine mpaka hunipiga picha. Wakawaonyeshe wahusika.
Ikafika muda nikawa nahesabu na kunote mahali, mpaka sasa ni zaidi ya watu 15 ambao nishakutana nao kisha wakanifananisha na jamaa zao.
Ingawa binafsi kihalisi nishakutana na watu watatu ukitutazama ni kama mapacha au ndugu wa tumbo moja. Uzuri mwingine nilikuwa nimemtangulia kidato shule moja.
Kiukweli inashangaza sana.
Ama kweli UKIMWI ni zali Kama umeponaMara nyingi hua nafananishwa na wapenzi wa watu. Utasikia umefanana na Ex wangu fulani. Hii kufananishwa ilikua inaniletea sana zali kipindi nasoma [emoji28]
Niligundua ukiwa mtulivu/decent kimuonekano basi utafanishwa na wengi wenye muonekano kama wako
Kwa upande mwingine ni hatari. Mtu anakuja fanya tukio akakimbia ukashikwa ww. Mpaka waje kujua si ww, huenda ukawa ushateseka.Njia pekee ya kuondokana na tatizo hilo ni kubadilisha muonekano kama unapenda kunyoa vipara anza kufuga nywele na ndevu kama unapenda kufuga nywele anza kunyoa style tofauti tofauti ili kupata upekee wako.. ni hatari sana kufananishwa fananishwa na watu inaweza kukuleta matatizo huko baadae niliwahi kosa mchongo fulani 2010 kwa kufananishwa na mtu fulani nisiyemjua..
Kweli aisee,japo Mimi nimefanana sana na mamaUngemsalimia mkajenga urafiki usikute baba yako alichepuka
Sijui huendaMmmh pengine mna undugu....hisia hazidanganyi
Dah sasa usikute mama yetu ndio alichepuka kwa baba ya hiyo kopi....ngumu kumeza??Kweli aisee,japo Mimi nimefanana sana na mama
Kwamba hata tumbo tusingeona?, hata angebeba mimba kisirisiri je mtoto tusingepakata....noo nakataa...hiyo ilitokea tuDah sasa usikute mama yetu ndio alichepuka kwa baba ya hiyo kopi....ngumu kumeza??
Sasa uku chunguza ujue kwao na ndugu zake?Mimi pia ilikuwa hivyo watu ndio waliniambia. Eti kumbe una mdogo wako anasoma hapa. Hee kuja kumuona ni mimi kabisa. Dogo hata akawa anapenda sana kuja class kwetu.[emoji1]