Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hili ndilo jibu....
Ukiwa mbali tuseme Ulaya...
Ukimwona Mghana wala huulizi....
Mnigeria wala huulizi.
Mtanzania Hali kadhalika.
Baba yetu ni Mmoja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndilo jibu....
Ukiwa mbali tuseme Ulaya...
Ukimwona Mghana wala huulizi....
Mnigeria wala huulizi.
Mtanzania Hali kadhalika.
Baba yetu ni Mmoja!
Mambo ya Mungu Ni ya ajabu kabisa....sura za binadamu Zina mafungu mafungu mafungu,zingine zipo common Sana zingine sio Sana...we utakuwa umeangukia kwenye group commonHello JF
Nimejikuta nalazimika kuleta uzi sasa maana hii imeanza kunishangaza.
Tangu nakuwa ni kawaida kukutana na watu then wananiambia nimefanana na either ndugu yao fulani au jamaa zao. Imefika hatua now nimekuwa wengine mpaka hunipiga picha. Wakawaonyeshe wahusika. Ikafika muda nikawa nahesabu na kunote mahali, mpaka sasa ni zaidi ya watu 15 ambao nishakutana nao kisha wakanifananisha na jamaa zao.
Ingawa binafsi kihalisi nishakutana na watu watatu ukitutazama ni kama mapacha au ndugu wa tumbo moja. Uzuri mwingine nilikuwa nimemtangulia kidato shule moja.
Kiukweli inashangaza sana.
Kwa nini hamkusalimiana Sasa?Mi nilifananishwa na watu watatu afu wa NNE nikaja onana nae mi mwenyewe airport.... Mwanamke mwenzangu ....aisee nilishtuka hata kumsimamisha niliogopa....ila tulipogongana macho tulitazamana kwa muda mrefu afu kila MTU hamwambii kitu mwenzie....Mimi mwili ulisisimka...nilijihisi upendo wa hali ya juu usioelezeka(ni kama mshtuko ulikuwa wa furaha..hata sielewi) ...njia nzima tangu tupishane ni full kugeukiana.Daaa,kumbukumbu isiyosahaulika
Wewe ni dereva?Mimi Mwenyewe nafananishwa Sana na Goodluck Gozbert
Kuna siku nilienda Katika harusi nimevaa Suti watu wakaanza kushangaa mara ohoo amekuja Gozbert muimbaji wa Injili.
We utakuwa Ni karembo Sana,Kama inafanana na vile vidada vya darling uko vizuri 👍Mimi nahisi wakati Mungu ananiumba, nilikuwa kwenye toleo la watu wengi sana...
Kuanzia shule mpaka maisha ya kawaida nafananishwa kila leo...
Nimeshazoea, sielewi hao watu ni kina nani niliofanana nao hivyo!!!
Kuna mmoja niliona kwenye tangazo la nywele, yaani yule nimimi kabisa, ni kama nilikuwa najiangalia kwenye kioo...
Hamna Mkuu Mimi mfanya BiasharaWewe ni dereva?
Si muhaya mwenzio yule sijui muhangazaMimi Mwenyewe nafananishwa Sana na Goodluck Gozbert
Kuna siku nilienda Katika harusi nimevaa Suti watu wakaanza kushangaa mara ohoo amekuja Gozbert muimbaji wa Injili.
Na wewe unalamba lips[emoji1787][emoji23]Mimi Mwenyewe nafananishwa Sana na Goodluck Gozbert
Kuna siku nilienda Katika harusi nimevaa Suti watu wakaanza kushangaa mara ohoo amekuja Gozbert muimbaji wa Injili.
Kuna DRIVER mmoja wa ofisi moja ya serikali kafanana na gozbet. Ok basi sura za Gozbet ziko nyingiHamna Mkuu Mimi mfanya Biashara
Sijui,tulikuwa tunaangaliana tu kiukweliKwa nini hamkusalimiana Sasa?
Hata wewe ungehamakiIlibidi muongee huenda ni ndugu yako
Dah huwa natamani Sana nikutane na mtu niliyefanana naeSijui,tulikuwa tunaangaliana tu kiukweli
Niko tofauti kwangu mimi it's weird kuwa na mtu anafanana na mimi yaani naona Ajabu sana.....sitaki hiko kituDah huwa natamani Sana nikutane na mtu niliyefanana nae
Unaweza zimia,somehow unashtukaDah huwa natamani Sana nikutane na mtu niliyefanana nae
Watakwambia huyo ni wewe umetoka kwenye Future ndio maana mlishindwa kuongeaMi nilifananishwa na watu watatu afu wa NNE nikaja onana nae mi mwenyewe airport.... Mwanamke mwenzangu ....aisee nilishtuka hata kumsimamisha niliogopa....ila tulipogongana macho tulitazamana kwa muda mrefu afu kila MTU hamwambii kitu mwenzie....Mimi mwili ulisisimka...nilijihisi upendo wa hali ya juu usioelezeka(ni kama mshtuko ulikuwa wa furaha..hata sielewi) ...njia nzima tangu tupishane ni full kugeukiana.Daaa,kumbukumbu isiyosahaulika
😂😂😂😂HatariUnaweza zimia,somehow unashtuka
😂😂😂😂Acha uoga!Kuna horror movie Zina huo mchezo wa jini kujifananisha sura ya mtu....Mi napenda kweliNiko tofauti kwangu mimi it's weird kuwa na mtu anafanana na mimi yaani naona Ajabu sana.....sitaki hiko kitu