Alienda marekani saiv ana masters ni bosi kwenye kampuni flani kubwa,anawaajiri wale walipiga one kaliNakumbuka threads za kumuhusu.. ila watu hamna simile.. nilipita kwa kusoma tu mengi.
Natumaini sasa yupo anaendelea vizuri na maisha na sasa labda atakuwa aliendelea na masomo na kumaliza salama. Hata sasa labda ana mume na watoto..
Ila duh utafikiri hata alijulikana bali watu mlimchambua haswaaa..
Hivi mliomcheka yenu na watu wenu yaliendaje baada?
Huu ni uongo ,matokeo ya mwaka 2008 yalikuja hayana majina bali number za mitihani hivyo si kweli kwamba kutoandika majina kulisababishwa na mtoto wa kigogo aliyefeli 2010Yeah nilikuwa form 2 ila nimekosea yule aliyepiga 4 feza sio wa 2016 ni wa 2010[emoji16] nimejichanganya
Siyo mzizima ni feza girls, four pekee kuwahi kutokea paleBack those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
I do remember wazee wenzangu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Aliweka record ya 4 ya kwanza pale feza girls....
Tena ya 27[emoji1787][emoji2956][emoji2956][emoji2956]watu wakaisanuaaaSiyo mzizima ni feza girls, four pekee kuwahi kutokea pale
Kwasasa atakuwa majuu anakula pension ya faza2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.
Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
Usishangae alipata division kubwa kuliko wote (5) ila wakaamua wamuwekee hiyo 4 wasionekane wameshindwa kutunga paperKulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
Kuna mfanyabiashara kkoo ana 1 ya 13 o level 1 ya 6 egm first class chuo anaingiza mil 13 daily usikariri kwamba kila toto linalofaulu darasani linaajiriwa fala ww fungua ubongo upate exposureMsiwe na dhana mbovu, kuwa ukifeli masomo darasani ndio umefeli maisha.
Wanyalukolo wengi Kariakoo hata zero ya kidato cha 4 hawana, lakini wanaweza kukuajiri na div 1 yako ya six.
Ghetto boyKwasasa atakuwa majuu anakula pension ya faza
DuuhAcha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.
Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana
[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]niliishazoea kuambiwa maneno hayo mkuu wewe sio wa kwanza japo natambua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha....nani alijua kuwa magufuri atakufa 2021?....
2006 nilikuwa na miaka 3Nakumbuka mwaka wetu ndio wahanga wa kwanza 2006 matokeo ya form 4 yakatoka na Initials tu mfano Usher Smith nikaandikwa USH [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mfanyabiashara kkoo ana 1 ya 13 o level 1 ya 6 egm first class chuo anaingiza mil 13 daily usikariri kwamba kila toto linalofaulu darasani linaajiriwa fala ww fungua ubongo upate exposure
Acha tu lolo lolo loloMnamfanya huyo mdada ajisikie vibaya kufeli kupo ila jinamizi la kufeli linaandama sana,lol...i have experienced that,lol
Wala haupindishi ukweliMtandao hausahau
noo nimemaliza2004 na majina brohUo ni uongo namba zimeanza kutumika toka miaka ya 2004 Uko watoto wa siku hizi hamjui kitu
Usishangae hata hiyo alifanyiwa standardization hata mara 3 au nne
Hivi kumbe humu kuna vitoto namna hii2006 nilikuwa na miaka 3
Ukisikia ogopa mungu na teknolojia ndio hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo hapo, number 25