Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Mbona mnamkomalia sana bibi wa watu?
Kifo cha Princess Diana kilipangwa, maana hawakutaka kuona mkwe wao anaeda kuolewa na Dodi, mbaya zaidi ni kuwa Princess Diana anajua siri za UK hivyo waliona huyu anaweza akauza ramani huko kwa Dodi.
Wakamnyamazisha chap.
Umamkumbuka Marilyn Monroe
 

Toa vitu mzee mbona unatoa story nusunusu
 
Za kuambiwa changanya na za kwako!!!
 
Pengine ulinisoma ila hukunielewa, umesema wakati wa kifo cha princess diana ulikuwa uk na unajua behind the scene katika post YAKO, then hiyo hidden story hujaieleza hapa, ndio maana nikakujibu "kulikuwa na ulazima wa wewe kupost hiyo post YAKO!? Ni bora ungekaa kimya bila kupost ili tusijue kuwa unajua,". Coz umewapa watu kiu... Watu wanapenda mastory deep ambayo hayajafumbululiwa KWA wengi, kuonjesha kunaleta kiu, nami ni mmoja wao, unaweza kudhani unajua kitu,kumbe hujui kwamba hujui... Pengine hukuelewa, mantiki yangu ilikuwa hiyo legend...
 
Salute Mkuu
 

Sasa kama hutaki kuendelea kusema ulisema ya nini si ungekaa kimya. Hili ni jambo liko wazi kila mtu anajua.
 
Wakuu Mimi naomba mwenye anaweza kuweza link ya ule uzi uliokua unaelezea utaratibu wa mazishi ya malkia yanavyokua kuanzia kutangazwa mpaka mazishi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…