Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Ata Kanye West walimuona fala, baadae Forbes wenyewe wakaufyata wakamtangaza bilionea, hawa Forbes kuna mda hawana Data, lazima muhusika aseme
Mimi namuona fala huyo Diamond, wapuuzi kama nyie ndio anakushikeni akili.
 
Yes anayo haki kulalamika ntakupa mifano michache kuhusu Forbes na Grammy
1.Forbes walilalamikiwa sana na Kanye West, baada walipopewa data sahihi na Kanye West walimtangaza kuwa bilionea, hii tafsiri yake hawa jamaa kuna muda hawana taarifaaa kamili hivyo lazima waambie

2.-Kuhusu Grammy za mwaka 2021, wamemuweka Justin Bieber kwenye category ya POP wakati yeye anaimba R&B alilalamika sana lakini wapi, ebu fikiria kama watu wanashindwa kujua Justin anaimba nini kwanini usiwe nao makini? wanafanya sana makosa
-Grammy hiyo hiyo THE WEEKND amewashutumu Grammy kuwa ni Corrupt, maana ngoma yake ya Blinding light imepigwa sana na album yake imeuza vibaya mno halafu ata nomination moja kakosa, hivyo sio kila wakati wako sahihi, hili jambo limewashangaza wengi
 
CHAIIIIII
unabishana na rafiki zake na bodyguards wake ? wao ndio walisema hayo walipoojiwa, ingia mtandaoni usome, kwenye nyumba ya uday yalikutwa ma roli yamejaa USD, na moja ya final acts alizofanya saddam ni kuagiza zaidi ya usd 5 billion zitolewe bank kuu ya iraq, baadae zilikutwa zimetelekezwa
 
Umewahi hata kuona TZS Mil 500 Cash?
Umewahi kuona angalau USD 1M?
Hakuna Raia nje ya Marekani atakuwa na CASH USD ajaze kwenye LORRY. Ukisikia Myth story ndio hizo.
Kwa jinsi unavyojenga hoja bila kufikiri nikiri waza sasa cheo cha POPOMA ni rasmi unavalishwa wewe.
 
wewe una tatizo kubwa sana ngoja nikuache, mimi nasema nimeziona picha za hizo pesa mtandaoni miaka mingi iliyopita alafu wewe unaniuliza TSH wakati mimi naongelea USD,naishia hapa kuzungumza na wewe,member wakija watanisaidia kukuelewesha nilichoandika hapo juu
hapa JF huenda tunabishana na watoto, emu ingia google u search nilichokiandika acha kutumia hiyo simu kuangalia porn
 
 
I'm Naseeb fan kabiiisa kabisa.

Nkaenda Google, nikitegemea kuna changes, nilikuta $7m

Sasa dah.
Anyways.
 
 
Kama una hela hiyo mikataba unaomba au unaweka mpunga, tusijazane ujinga mwenye hela inamfuata halazimishi kuonekana anazo. Yaani mtu analilia aonekane ana hela ili apate endorsement unamuita ana hela[emoji3064][emoji3064]
 

huenda wakati haya yanatokea ulikuwa hujazaliwa so nakusamehe kwa ujinga ulioandika hapo juu, ingia mtandaoni usome we dogo, kuna ma rais hapa africa walikuwa wanatembea na zaidi ya usd 5 million za ku spend tu wakati huo wewe ulikuwa kijijini kwenu huko
 
Sifa hizi bwan kwahyo altaka waseme yy kawafunika wote kwa pesa et
 
hapo kuna 100 million usd we dogo,wakati huo hii video inaoneshwa kwenye Tv baba yako hakuwa na TV,sisi kaka zako tulikuwa tunaiangalia
US Army Reserve Captain Erik C. Gonzalez pictured in a room with over $100 million dollars of Saddam Hussein’s money

 
Sisi tumekuelewa.
 
We na huyo jamaa uliyem-quote wote akili zenu zipo kushoto .....!!! Hapa ni pesa katika music industry mkuu.....!!! Sio wauza mahindi au dhahabu
We unaongelea music

Ila wazee wa back bench wako wanabishana out of music

[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…