Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Unalilia kuwekwa kwenye list ya Matajiri wakati hata unapoishi umepanga? Sasa Forbes waende wakagoogle nini sasa, source ipi ya maana wataikuta inaelezea utajiri wake.

Kwanza wale hawafanyi kazi kwa ku google wanafanya research juu ya utajiri wa mtu wanakuangalia una Assets zipi na vyanzo vyako vya mapato. Halafu kama kweli unao utajiri huo povu la nini sasa mbona akina Bhakresa kimya tu
 
We na huyo jamaa uliyem-quote wote akili zenu zipo kushoto .....!!! Hapa ni pesa katika music industry mkuu.....!!! Sio wauza mahindi au dhahabu
Sawa ila mwenye hela hana sababu ya kulialia ili aonekane ana hela umesikia zuchu
 
Kama una hela hiyo mikataba unaomba au unaweka mpunga, tusijazane ujinga mwenye hela inamfuata halazimishi kuonekana anazo. Yaani mtu analilia aonekane ana hela ili apate endorsement unamuita ana hela[emoji3064][emoji3064]
Kumbuka huyo ni mwanamziki na pia ni maarufu sio kama sisi ukilijua Hili likusaidia kujua content yangu kiujumla.
 
Myth story.......
 
Diamond ni fala tu hata asikutisheni, kelele kibao mara ooh mnajua mi nalipa kodi shng ngapi kwa mwezi, mara ntanunua ndege mara ntalipia watu kodi za nyumba, mara ataanzisha sports bet nk.
NCHI HII HAKUNA PESA ATAINGIZA NA ASIJULIKANE. TUNA MIFUMO IMARA MNO. ACCOUNTS ZAKE BENKI ZINAJULIKANA, MAGARI ANAYOMILIKI YANAJULIKANA, KODI ANAZOLIPA YEYE (INDIVIDUAL) ZINAJULIKANA, UMILIKI WA NYUMBA UNAJULIKANA, UMILIKI WA KAMPUNI UNAJULIKANA. ASICHOKIJUA NI KWAMBA WATU WANAMCHEKA TU. NA KWAMBA ETHICS ZA KAZI ZA WATU NDIO ZINAMLINDA ILA ANGESHAPATA AIBU.
Ndio maana huwa naomba mamake apate ugonjwa/homa kubwa moja tu ili muone kama hajatokeza mbele za watu kuomba msaada wa matibabu.
Duuh aiasee una roho mbaya sana yani unaomba mama wa kijana mwenzako apate ugonjwa🙁🙁 Ushabiki wa hivi mbaya sana!! Kauli kama hizi ndo sa zingine zinafanya tunakosa baraka!!
 
Mo vs Bakhresa itaansa sasa hivi.
Mwenye pesa zake Bakheresa kimyaa ila huyu Mo namtilia mashaka maana anapenda haya mambo lakini wenye pesa zao huwasikii wanapiga kazi tu. Halafu kama na pesa nipige kelele za nini kukaribisha maombi tu na TRA ya nini. wahindi kila siku wanataka kuonesha mimi sina kitu biashara mbaya sana ili wasilipe kodi. Umejitapa hapo na mabillion mara hao wamekuja TRA ya nini.
 
Myself nimekuelewa
Chige yuko sawa ila wazee wa TRA wanakuja wakiona number tu kubwa mbona unalipa hivi wakati unasema na hivi haya yanafaida yake na hasara zake ila kama ni views tu fine.
 
Afanye kama kanye west ama maana alipeleka mpaka risiti forbes
Kuna siku alisema analipa kama 40 Million tax kwa ujumla kwa mwezi kama sikosei biashara zote sasa ukiangalia number sio kubwa kihivyo lakini hapohapo sote tunajuwa kwenye media kuna partners sio peke yake na kwenye mziki hata Managers wake walisema wao sio wasindikizaji na wao wanachao % sio mishahara sasa hapo chukua revenue utoe gharama za uendeshaji including life style unaweza kujuwa ngapi imebaki na kama kuna mikopo bank sijui nasema kama haya mahesabu sio rahisi kujuwa. ila hii kusema analipa 40 million alisema mwenyewe lakini kuna watu wengi hapo wanakula cake. Yule Salam alisema mimi simsindikizi mtu tunakula wote. Kama yeye tajiri mkubwa basi shareholders pia mamanagers wake pia matajiri wanakula wote. Media tunajuwa kina nani wako pamoja.
 
Kuna siku alisema analipa kama 40 Million tax kwa ujumla kwa mwezi kama sikosei biashara zote sasa ukiangalia number sio kubwa kihivyo lakini hapohapo sote tunajuwa kwenye media kuna partners sio peke yake na kwenye mziki hata Managers wake walisema wao sio wasindikizaji na wao wanachao % sio mishahara sasa hapo chukua revenue utoe gharama za uendeshaji including life style unaweza kujuwa ngapi imebaki na kama kuna mikopo bank sijui nasema kama haya mahesabu sio rahisi kujuwa. ila hii kusema analipa 40 million alisema mwenyewe lakini kuna watu wengi hapo wanakula cake. Yule Salam alisema mimi simsindikizi mtu tunakula wote. Kama yeye tajiri mkubwa basi shareholders pia mamanagers wake pia matajiri wanakula wote. Media tunajuwa kina nani wako pamoja.

Mamenega wameajiriwa na diamond kwahiyo yeye ndo anaamua awalipe shilling ngapi sio kila pesa inayotoka wanakula nusu kwa nusu
 
Mamenega wameajiriwa na diamond kwahiyo yeye ndo anaamua awalipe shilling ngapi sio kila pesa inayotoka wanakula nusu kwa nusu
Kasikilize interview ya Fella na Salama hakuna mshahara wanachukuwa % na ni sehemu ya wakurugenzi pitia kauli zao sio naongea mimi. Salama alienda mbali alisema sisindikizi mtu mimi kwenye utajiri wanapata share ila ngapi hilo sijui ila sio mishahara.
 
Duuh aiasee una roho mbaya sana yani unaomba mama wa kijana mwenzako apate ugonjwa[emoji853][emoji853] Ushabiki wa hivi mbaya sana!! Kauli kama hizi ndo sa zingine zinafanya tunakosa baraka!!
Wengi hamtaki kuamini kuwa hana ukwasi kama anaojisifia. Ndio maana tunaomba mama yake aumwe ndipo uone atakavyoomba msaada.
 
Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!

Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
Yeye asingefanya kupingana au kutoa povu... Yeye anatakiwa ajibrand zaidi... Ajifunze kwa MO, sio kwamba MO ndiye tajiri mkubwa kuzidi wote Tanzania, lakini alijua lazima ajiingize kwenye networking ya kufahamika duniani kwenye circle za matajiri.. Huko MO anatamkwa sana na kufanya mambo yake kule.. Hii imesaidia sana MO kufahamika na kuaminika.. Kweli DIAMOND anafanya vizuri TZ hakuna ubishi katika hilo.. Kupitia tangazo la Forbes lilitakiwa limfungue macho kwamba kuna sehemu networking yake kwenye international circle hajafanya vizuri.. Atafute medial specialist wamsaidie ili afahamike huko..
Hiyo ni sawa sawa ukitaka kwenda benki kupata mkopo wa biashara yako, lazima uwe na track record kwenye vyombo vya pesa ndio inaonyesha kweli wewe una hela au unafanana na unachokisema.. Kama una hela zako unazipata huko kwenye migodi au porini lakini hazipiti benki... Basi hata mtu mwenye hela ndogo ataonekana yupo vizuri kwa sababu kuna kumbukumbu yake kwenye taasisi za kifedha.

DI ajipange aweze kufanya jina lake lifahamike kwenye hizo circles na yeye atasomeka pazuri zaidi ., ambako wenzake wameonekana aache kulalamika ovyo bila mkakati wa kumnasua hapo alipo.
 
Elewa kitu kimoja chief , ukitafta matajiri 1000 bongo usishangae diamond kutoliona jina lake , Ila ndo mtu maarufu zaidi bongo right now ukiondoa Maghufuli aliyefariki....
Maonyesho ya Mali na kutambiana ni moja ya successful strategies ya msanii yyte duniani .... Yaan wao mafanikio Yao ni kuongelewa na watu ndo kunafanya mkono uingie kinywani .... Na hata hlo Povu kalitupa kimkakati hajakrupuka boss .....
Music is about fame mkuu bila hvo hutoboi...!!
Chawa pekee unaejitambua
 
Diamond ni fala tu hata asikutisheni, kelele kibao mara ooh mnajua mi nalipa kodi shng ngapi kwa mwezi, mara ntanunua ndege mara ntalipia watu kodi za nyumba, mara ataanzisha sports bet nk.
NCHI HII HAKUNA PESA ATAINGIZA NA ASIJULIKANE. TUNA MIFUMO IMARA MNO. ACCOUNTS ZAKE BENKI ZINAJULIKANA, MAGARI ANAYOMILIKI YANAJULIKANA, KODI ANAZOLIPA YEYE (INDIVIDUAL) ZINAJULIKANA, UMILIKI WA NYUMBA UNAJULIKANA, UMILIKI WA KAMPUNI UNAJULIKANA. ASICHOKIJUA NI KWAMBA WATU WANAMCHEKA TU. NA KWAMBA ETHICS ZA KAZI ZA WATU NDIO ZINAMLINDA ILA ANGESHAPATA AIBU.
Ndio maana huwa naomba mamake apate ugonjwa/homa kubwa moja tu ili muone kama hajatokeza mbele za watu kuomba msaada wa matibabu.
Sio mpuuzi hapo anauza Image..., huenda wenye matatizo ni mashabiki ambao hawanunui kazi bali image / brand ya mtu..., leo mkisikia Diamond kafilisika au hana kitu huenda kuna watu wataacha kusikiliza kazi zake..., Ukizingatia watu kama mimi ambao hatuangalii mtu bali kazi tupo wachache basi wasanii hawana budi kuishi maisha ya maigizo (people buy into that lifestyle and that's what puts bacon on their tables)
 
Wengi hamtaki kuamini kuwa hana ukwasi kama anaojisifia. Ndio maana tunaomba mama yake aumwe ndipo uone atakavyoomba msaada.
Mimi kuhusu yeye kuwa na hela au kutokuwa nayo hainihusu maan haina impact yoyote kwenye maisha yangu!! ila swala la kumuombea mzazi tena mama wa kijana mwenzako mabaya sio vizuri!!
 
Back
Top Bottom