Kufuatia tishio la wanachadema kufanya fujo, Dar es salaam yote iwekwe chini ya uangalizi maalum wa vyombo vya ukinzi na usalama
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Huna akili,huo ulinzi wote kwamba na wengine tushindwe kufanya shuhuri zetu kisa siasa zenu
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Halafu unaweza kukuta wewe ni graduate!
Aibu naona mimi
 
nadhani liko Tatizo katika uelewa na ufahamu wa masuala ya ustaarabu na sheria za kimataifa.
bilashaka ni kwasababu ya taasisi za kisiasa kutokua uwezo lakini pia watu makini wabobevu katika eneo hilo ili kutoa uelekeo na jinsi ya viongozi waandamizi wanavyoweza kuyazungumzia masuala haya mbele ya umma..

masuala ya kimataifa hayaendeshwi kwa msukumo binafsi, hisia au kutumia kinywaji cha kuchochea mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini bila kujali anazungumza mambo kinyume na miiko na utamaduni wa kimataifa....

haiwezekani unatoa wito wa kiuchunguzi wa kimataifa kulingana na hisia zako dhidi ya vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yako, lakini pia ukiwa na record za uchochezi na ugaidi...

wakati huo huo unachochea chuki dhidi ya serikali na kuhamasisha mapinduzi ya serikali iliyopo madarakani kidemokrasia..
huo ni uhalifu..

unatofautiana nini sasa na wanamapinduzi na wahaini wengine? Ni Taifa gani la kistaarabu ulimwenguni linalozingatia sheria za kimataifa litakuskiza?

huenda msukumo wa haya inaweza kua kinywaji..
maana ule msukumo haukua wa kawaida, hata ukiobserve body language, tone na facial expressions ya kiongozi mtoa wito ni dhahiri alikua katika hali ya msisimko baada ya kupata kinywaji Fulani chenye kuhamasisha mtu awe jasiri, mwenye shauku na kujiamini kupita kiasi na kuamua kutangaza vitu ambavyo vinaweza kuzua taharuki miongoni mwa jamii, kuhatarisha umoja, amani, utulivu wa waTanzania pamoja na kuhamasisha chuki na uhalifu nchini..🐒





Mungu Ibariki Tanzania
Huna akili, wenzako Wana akili!!

Wameshapiga mluzi Ili wasikike Kimataifa.

Wanatengeneza kitu ili Serikali ikatae then ionekane ni kweli Kuna jambo baya.

Huna akili wewe
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Kwenye hii nchi hakuna kitu kinaitwa jeshi la polisi wala usalama wa taifa …… WOTE NI WANA CCM WALIO BADILISHANA MAVAZI , leo ata vaa vazzi la jeshi, kesho ata vaa vazi la polisi, siku nyingine ata vaa vazi la jaji mkuuu, siku nyingine atavaa vazi la spika wa bunge, siku nyingine ata vaa vazi la mwanasheria mkuuu , popote utakapo enda ndani ya hii nchi zingatia haya utanishukuru badaye
 
Waambie Je matamko ya Mabwana zao yameshawasaidia nini Hadi saizi? 😁😁😁😁

Wanaalikwa kufanya usafi sanjali ya JW tarehe tajwa hapo chini 🤣🤣👇👇

View: https://x.com/MzalendoDaily/status/1833893018245451992?t=XyYVwRmVBJCV3OMYzwbTPA&s=19

Screenshot_20240912_111157_X.jpg
 
Kwenye hii nchi hakuna kitu kinaitwa jeshi la polisi wala usalama wa taifa …… WOTE NI WANA CCM WALIO BADILISHANA MAVAZI , leo ata vaa vazzi la jeshi, kesho ata vaa vazi la polisi, siku nyingine ata vaa vazi la jaji mkuuu, siku nyingine atavaa vazi la spika wa bunge, siku nyingine ata vaa vazi la mwanasheria mkuuu , popote utakapo enda ndani ya hii nchi zingatia haya utanishukuru badaye
Una ushahidi
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Acha udaku tulia uandike vizuri ukinzi ndo nini sasa
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Vyombo vya ukinzi huwa vinakazi gani ndugu?
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
aisee chadema ni kidume kwelikweli yaani ccm imefikishwa kileleni bila ya kutumia vumbi la kongo
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi

Sasa uweke mapolisi Dar nzima chadema wana bunduki? Akili hizi za uvccm?
WhatsApp Image 2024-08-19 at 03.03.58.jpeg
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Vyombo vya usalama navijua ila hivyo vya ukinzi ndio sijajua ni vipi hivyo
 
NAshauri hilo lifanyike kwa kuhusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama. Nyumba za wageni zikqguliwe mara kwa mara kubaini watu waliokuja Dar kwa ajili ya uhalifu huo, nyumba za biongozi wa chadema Dar ws salaam nzima zifuatiliwe kwa karibu, wageni wanaoingia na kutoka.

Ofisi za chadema zote nchi nzima ziwekqe chini ya uangalizi (surveillance), njia kuu za kuingilia na kutoka Dar, makutano ya barabara yote kwa mwezi mzima yawekwe chini ya uangalizi maalum.

Kwa mikoani, viongozi wa chama hichi wawekwe chini ya uangalizi na database ya kufuatilia mienendo na mizunguko yao, vikao vyao, na kila kitu, vituo vyote vya mabasi nchi nzima viangaliwe pamoja na magari ya kukodi, na wenye kamouni hizo nchi nzima waonywe kuhusu kukodisha magari yao yakafanye uhalifu.

Kila mkoa utoe maafisa kadhaa walioiva katika kazi ya kutuliza ghasia, na pia mapolisi jeshi (MP) nchi nzima wakqe mkao wa utayari kuilinda nchi
Kuna chama fulani isingekuwa jeshi la polisi tungekuwa tulishakisahau
 
Back
Top Bottom