Kweli kabisaa!Kinga isiyokinga ni mtihani mkubwa sana kuelewesha kwa Watu.
Hoja ya kwamba ukipata chanjo hata ukipata covid huumwi sana bado ni hoja isiyoniingia sana akilini, kwani bado wapo wanaopata maambukizi na kupata madhara madogo au hata wasionyeshe dalili yoyote ili hali hawajachanjwa.
Kabla ya kuandika haya uliyoyaandika kuna maswali kama journalist ulipaswa kujiuliza.
1. Huko tunapoita kwa wenzetu wamefanikiwa kuondoa tatizo?.
2. Je , tangia wameanza kuchanja kwa zaidi ya asilimia 80 ya watu wao tatizo limeongezeka au limepungua ?
3. Je, tunachanja as a matter of fashion au tunachanja kukabiliana na tatizo ambalo data zote zinaonyesha chanjo zimeshindwa kulikabili?
4. Vipi kuhusu utaratibu wa boosters , tutawamambiaje watu kurudia kuchanja kwa mara ya pili wakati wenzetu waliochanja kwa lazima na boosters juu bado imeshindikana?
5. Tafiti zinaonyesha jamii ya watu weusi hataa huko US ndio wamechanjwa kwa uchache wengi wakipinga hiyo chanjo, vipi kuhusu Tz yenye majority weusi , unategemea watakubali kirahisi tu!?
Ulichokiandika we mwenyewe umekielewa?Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Mh. Rais kasema chanjo ni hiari ila wewe unasema hiari ya lazima, kwahiyo unaenda kinyume na kauli ya Rais hivyo umeendelea kupoteza sifa ya kuteuliwa hata ubalozi wa nyumba 10.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Vipi nyie wafuasi wa gaidi mmechanjwa wote?Chanjo ya Uviko ni hiyari yenye lazima ndani yake.
Nina uhakika hapa TZ tukichanja na kufika % flani tutaanza kuweka restrictions kwenye baadhi ya maeneo itakayopelekea kila mmoja kuchanja kwa lazima.
Ngoja tuone ila soon hadi wafuasi wa kinjekitile watasadiki.
Mkuu suala la chanjo ni hiyari lakini... kuna safari za nje ya nchi kwenda ni vigumu bila kuchanja.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Siyo thanks zote anazotoa mleta mada kqa wachangiaji wa uzi wate zina maanisha thanks za ukweli kutoka moyoni mwake. Kuwa makini na thanks zake.Chanjo ni igizo lililoshindwa na kulegea
Nimeshangaa sana Mayalla kupigia debe huu upuuzi wa wazungu
Kama inakupa garantii kwa nini mtu ahangaike na wasiochanja?Kwani uliskia kwamba chanjo ni tiba? ama ina tibu covid? Chanjo haiondoi tatizo ila inakupa guarantee incomparison kwa nyie msiochanja!!
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Bwana paschali wewe kachanje kama bado hujachanjwa.Na kama bado endelea kusikilizia moyoni na hiyo ndo maana ya hiari.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Ahangaiki kama unavyotaka kutuaminisha concern yake ni nini kifanyike ili sote tuwe salama..we kama hutaki kuchanja kimpango wako lakini itafika nyakati utakosa ku-access baadhi ya vitu/ huduma..kama ilivyokua kwa barakoa tu!Kama inakupa garantii kwa nini mtu ahangaike na wasiochanja?
Wenye chanjo wanawategea mseme lazima ili wakatae kuwapa bure mnunue. Chanjo ni biashara na ndio future business ya kuaminika ukiingia hutoki kamwe.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Hapa tayari umeshapanic 🤣🤣🤣Vipi nyie wafuasi wa gaidi mmechanjwa wote?
We nenda kachanje....kwa ...maslahi....yako na siyo....kuwashinikiza wenzako ....kwani chanjo...Ni hiyari ...umeelewa....Pascal Mayalla??Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" mada ya leo ni kuhusu chanjo ya Corona.
Kufuatia Umuhimu wa Chanjo Kwa baadhi ya kada, japo chanjo ni hiyari, na ukweli ni kwamba mwitikio wa kuchanja kwa hiyari bado ni mwitikio duni, Ili kuliokoa taifa kwa zile kada muhimu na kada hatarishi, jee kuna kuna umuhimu sasa na sisi Tanzania kuanzisha hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada hatarishi kuambukizika kwa urahisi na zile kada muhimu, au tuendelee tuu na uhamasishaji wa kubembelezania chanjo ni hiyari?.
Nisikilize hapa
Baadhi ya nchi za wenzetu wamefanya chanjo ni hiyari ya lazima kwa baadhi ya kada, mfano majeshi, polisi, public workers, ni lazima wachanje, asiyetaka aachie ngazi au kufukuzwa kazi.
Hivi sisi Tanzania, kama kweli tuko serious na chanjo, kuna ubaya wowote nasi tukaanzisha hiyari ya lazima?.
Paskali.
Mangungo wa Msovero😃😃😃😃 ilimnyoosha chali.Chanjo ya Uviko ni hiyari yenye lazima ndani yake.
Nina uhakika hapa TZ tukichanja na kufika % flani tutaanza kuweka restrictions kwenye baadhi ya maeneo itakayopelekea kila mmoja kuchanja kwa lazima.
Ngoja tuone ila soon hadi wafuasi wa kinjekitile watasadiki.