Kufuatia upungufu wa dola, BoT yatoa maelekezo ya kudhibiti Viwango Vya Miamala

Mliposema mnafungua nchi mlimaanisha nini? Mmesema mara nyingi kuwa FDI imeongezeka haijawahi kutokea. sasa hivi mambo yapo mrama mnaokoteza sababu
 
Zero brain na huku Turkey wizi na ulanguzi ndio umesababisha negative forex si ndio? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Mliposema mnafungua nchi mlimaanisha nini? Mmesema mara nyingi kuwa FDI imeongezeka haijawahi kutokea. sasa hivi mambo yapo mrama mnaokoteza sababu
 
Uwe unasoma zaidi ya kichwa cha habari kwenye hizo source zako maelezo yote yamo humo.

Hela yao imepoteza thamani ya 33% kwa miaka miwili mfululizo, so watu wamekuwa wakinunua dollar kama reserve ya hela zao; woga uchaguzi ungeangusha zaidi kiwango cha hela yao watu wengi wamekimbilia dollar na kupelekea huo uhaba.

Hakuna nchi inayoguswa na sera za US kama zipo ni zile chache ambazo zinafanya nae biashara kubwa; ila sio hivi vi nchi vya third world.
 
Nyumbu ni nyumbu tuu
 
Waondoe urasimu kwenye kubadili pesa za kigeni,pesa zangu mashart kibao Mara kitambulisho sijui Nini.
Waruhusu maduka ya kubadili pesa yawe mengi Kama zamani
 
Kwani wachumi wetu na Gavana wa BOT,wanashauri nini, namna ya kujikwamua kutoka kwenye mkwamo huo.?
 
Kama kawaida yako poyoyo uelewi unacholeta.

Central bank zina akiba dollars na ya hela za ndani. India wao wanachanganโ€™ya na Rupee kwenye hesabu zao.

Thamani ya dollar imepanda, kwa hivyo wakifanya conversion ya reserve za Rupee kwenye dollar (with current exchange rate) thamani ya akiba yao total inapungua.

Lakini si kwamba wana uhaba wa dollar.
 
Bank of Tanzania keep enough gold reserve then you will have no problem in monetary exchange the problem now is the exchange rates . Paying your debt is expensive in dollars because bank rates are high borrowing is expensive
 
Lile jiwe vp
 
Naendelea kupiga kwenye mshono ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ