Ha ha ha mi nishacheka tayarKwanilivyo pitia comments......[emoji2] [emoji2]
Nimejikuta nasita kusema sababu nitaishia kuchekwa tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tushirikishe kiongozi!Kwanilivyo pitia comments......[emoji2] [emoji2]
Nimejikuta nasita kusema sababu nitaishia kuchekwa tu....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Duhh...[emoji85] [emoji85] [emoji85]Ha ha ha mi nishacheka tayar
Nitaaibika tafadhali aiseeeeee....[emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tushirikishe kiongozi!
Hapana kwa kwelimadam vp ulipanda tren wewe hadi kigoma
distance ni kipimo sahihi cha upendo
ngoja nikufungie safari mimiHapana kwa kweli
Madame S
na bado ukaambulia patupuUkiacha limbwata.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Naskia nilisha wahi kunyweshwa hadi chai iliyo chujwa kwa pichu....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
sio vizuriDuh wewe mtoto noma kwa kuwafata wanaume,juzi umenifata Mimi Tunduma ndio maana nilikuacha nilijisi wewe ni Malaya sn
Sent using Jamii Forums mobile app
na mzigo hukupewaMkuu nilitoka Karatu hadi LUSHOTO nikamkuta mtoto mkali sana bahati mbaya alikuja na mabest zake wawil tukaenda kula hotel flan buffet, kilichonifanya nimchukie yan waliamua kubrba sahan tatu tatu yan walibebanisha sahan tupu chin ya zenye chakula then tulivyofika mezan wakawa wanaziweka kwenye mikoba yao zile tupu ,,kitendo hicho kilinifanya nimdharau sana yule bint kesho yake nikaondoka sikurudi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkimalizana mnaachanaNinavyoandika haya tayari nimemtumia nauli demu mmoja anatoka Dodoma kuja Dar ili nimalizane naye then arudi zake Dom.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, kazi ipoMkuu nilitoka Karatu hadi LUSHOTO nikamkuta mtoto mkali sana bahati mbaya alikuja na mabest zake wawil tukaenda kula hotel flan buffet, kilichonifanya nimchukie yan waliamua kubrba sahan tatu tatu yan walibebanisha sahan tupu chin ya zenye chakula then tulivyofika mezan wakawa wanaziweka kwenye mikoba yao zile tupu ,,kitendo hicho kilinifanya nimdharau sana yule bint kesho yake nikaondoka sikurudi tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
MmmhDuh wewe mtoto noma kwa kuwafata wanaume,juzi umenifata Mimi Tunduma ndio maana nilikuacha nilijisi wewe ni Malaya sn
Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwa huo umbali dadekiUmesahau mimi nilikufungia safari kutoka mtwara mpk moshi [emoji23][emoji23][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
khaaa umbali wote huo, em weka pichaMm kunadem nataka nimfuatee Congo Bukavuu ni bongee la pin, ila naogopa Nisile shaba..
iliwahi nitokea