Kufukuzia hadi kusafiria penzi

ukipenda unafuata kaka,mi nikipromise na MTU si mbabaishaji.Nashukuru lakini kuniacha kwako kufanikiwa kwangu.Siye wote ni wa Mungu....nimefanikiwa kaka
kweli kabisa bidada mapenz yanaweza kukufanya ufanye mambo ya ajab
 
Nishasafiri km 2000+km nnje ya nchi kufata mreemboo...

Kawaida saana afu nikakutana na show mbovu ila sijakoma mpaka now nasafiri tu

Sent from "La -Vista"

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]manzi waswaz hao! Wanaiba hadi sahani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…