Kufukuzwa Membe CCM: Hakika siasa ni Mchezo kama ilivyo Karata na Draft

Ss km sheria inasema hivyo vp kw wagombea waliotoka vyama vingine na kujiunga ccm hy sheria haiwahusu wao au? Eg Mh.Waitara, Mh Mtolea, Mh. Gekul,.......
Hata kama membe aende chama cha upinzani!hatoruhusiwa tume ya uchaguzi kugombea uraisi!sabb sheria mpya ya vyama vya siasa inamtaka mgombea kukaa kwenye chama takribani miaka miwili!!!MEMBE IMEKULA KWAKE!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Membe akihamia ACT tu wale jamaa waanze kutundika mahema kuashiria msiba.

Na vita yao itakuwa dhidi ya ACT na Zitto na si CCM tena ama wote!

Hii hatua imechukuliwa mapema siyo kwa bahati mbaya!

Kilichomkuta Kachero katika video!😁
 

Attachments

  • 84438045_134566504335650_209091646500724875_n.mp4
    2.2 MB
Inabaki kuwa ni mtazamo.wako tu,huyu kaisha ,utakumbuka maneno yangu siku zijazo,ccm imejipanga haswa,na huwa hawakosei
 
Si mlisema hawezi kufukuzwa kachero mbobezi?
 
Hongera sana
In God we Trust
 
Kufukuzwa kwa Membe ni maamuzi ya magufuli siyo Wana CCM.
Hii ndio CCM niliyoifahamu yenye maamuzi yasiyomuangalia mtu usoni.

Haijalishi wewe ni maarufu kiasi gani unapokengeuka lazima hatua zichukuliwe dhidi yako.

Hii ndio CCM aliyotuachia Nyerere na Kawawa

Maendeleio hayana vyama!
 
Wachana naye huyo mrundi
Mku sema kwa siasa za Tz hazitabiliki. Ngoja baada ya 2020 ndo utatwambia kama CDM ndo tishio au ACT ya Zitto?

In God we Trust
 
huu ni mchezo and this can be a strategic move done by ccm. wapinzani wawe makin sana vinginevyo watajitia katika aibu nyingine ya miaka mi 5 na kuua kabisa dhana ya upinzani pamoja na kukatisha tamaa mioyo ya watanzania wanaosubir kwa ham mabadiliko ya kimfumo.
 
Hiyo kesi ilishatolewa hukumu lkn wakubwa hawataki kabisa kuisikia hiyo kitu, sijui wanaogopa kitu gani haswa
Membe afungue kesi ya kudai ugombea binafsi.

Kukosekana nafasi ya ugombea binafsi kunamnyima haki yake ya kikatiba ya kugombea uongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Kwani hapa nchini kuna chama kimoja tu cha upinzani? Mbona mnakonda sana kwa ajili ya cdm?
Membe akihamia ACT tu wale jamaa waanze kutundika mahema kuashiria msiba.

Na vita yao itakuwa dhidi ya ACT na Zitto na si CCM tena ama wote!

Hii hatua imechukuliwa mapema siyo kwa bahati mbaya!

In God we Trust
 
Cdm wagombea wanao tayari,pia wamejifunza kwa Lowasa aliwaangusha kwa kukubali matokeo haraka
 
Chadema haipokei tena maccm inasafisha kutarudisha ccm we uoni chama kipo kwenye kujisafisha
 
Kile chama cha ujamaa akili anazo mmiliki wake na uruhusiwi kuwa na akili au maarufu zaidi ya mmiliki wa chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…