Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Yeyote anayeamini kuwa Mungu yupo na ni muumba wa vyote atasikiliza kiongozi wake wa kiroho. Anayeamini vya duniani ipo siku atapiga mahesabu tu.
Mkuu, sijui ni nini kinatufanya kuwaamini mno 'wasakatonge'! Hao waliosema tupige kura ya 'HAPANA' ndio wametuambia Mungu yupo na kwamba ukifa utaenda PEPONI au JEHANAM kulingana na matendo yako hapa duniani. Sasa kama Mungu hakutupa masharti ya kuingia huko kwa nini tunaambiwa pana "Amri kumi za Mungu"?
Ata akiambiwa kula kinyesi ata kula si ndiyo? akili za kuambiwa changanya na zako! usipende kuburuzwa wala kufanyiwa maamuzi wakti we mwenyewe unaakili timamu na wala sio mtoto mdogo, msipende kila kitu mpaka muwasikize viongozi wa dini, itakula kwenu.
katika familia yangu kuna kura 7 (saba) za hapana. Liwalo na liwe
chanzo cha hao kuwa hivyo ni elimu. ANGALIA CV ZA VIONGOZI WA DINI YA KIKRISTO NA HAO ndipo utagundua kwanini kuwaza kwao ni tofauti na haoCCM itabaki na BAKWATA yao coz hawajitambui mashehe ubwabwa
chanzo cha hao kuwa hivyo ni elimu. Angalia cv za viongozi wa dini ya kikristo na hao ndipo utagundua kwanini kuwaza kwao ni tofauti na hao
wanayo sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa Katiba ya Chengenyie kuweni waungwana, acheni uchochezi usio na maana bhana, hatuzungumzii mambo ya cv hapa, kwani wewe umesoma au cv yako nzuri? Wekeni uzalendo mbele kwanza mambo mengine baadae.
wanayo sifa ya kuwa wabunge kwa mujibu wa katiba ya chenge
hakutaka kuleta vurugu ndani ya kanisa sababu kuna mapadri ukawa ambao kutwa ni kuhubiri habari za ukawa wangezisoma hizo barua kwa nguvu kwa maana wamepotoka kiasi kuwa wanawaza siasa kuliko dini walizokabidhiwa.pia kuna waumini vichaa kanisani ambao wangeleta vurugu kanisani kama zisingesomwa.
Mzee pengo ni mtu mzima katulia aliona atafute wakati muafaka wa kutoa tamko.
hao mapadri habari ya ukawa ndio habari yao ya mujini..
wanajisumbua tu na kupoteza muda wangejibakia tu kuswalisha tu.wataaibika uchaguzi unaokuja.sijui sura zao watazificha wapi.
mi nilidhani kwa mtu kama sisi kura ya ndio ni kwa waalioisoma katiba pendekezwa na kuikubali. Hapana ni kwa walioikataa au wasioiona bado au wasioielewa. Nisingependa waandishi wanavyoshabikia kutafuta watu wenye roho nyepesi tupopoane macho barabarani.
Katiba ina mambo mazuri mengi shida yetu ni yale mapungufu yafanyiwe kazi
ata akiambiwa kula kinyesi ata kula si ndiyo? Akili za kuambiwa changanya na zako! Usipende kuburuzwa wala kufanyiwa maamuzi wakti we mwenyewe unaakili timamu na wala sio mtoto mdogo, msipende kila kitu mpaka muwasikize viongozi wa dini, itakula kwenu.
mbo husemi hayo mapungufu ni yepiiiimi nilidhani kwa mtu kama sisi kura ya ndio ni kwa waalioisoma katiba pendekezwa na kuikubali. Hapana ni kwa walioikataa au wasioiona bado au wasioielewa. Nisingependa waandishi wanavyoshabikia kutafuta watu wenye roho nyepesi tupopoane macho barabarani.
Katiba ina mambo mazuri mengi shida yetu ni yale mapungufu yafanyiwe kazi
naamini kweli hao mapadre wanatumwa na ukawa coz dini wameiacha na wanaingilia mambo ya siasa sasa, aibu yao.
naona hasira za wana wa nchi hujazitambua weyee... Hebu muulize mwenyekiti wako wa kijiji unachoishi hapo ni wa chama kipi.. Utapata jibu zuri tu.wanajisumbua tu na kupoteza muda wangejibakia tu kuswalisha tu.wataaibika uchaguzi unaokuja.sijui sura zao watazificha wapi.
mkuu, sijui ni nini kinatufanya kuwaamini mno 'wasakatonge'! Hao waliosema tupige kura ya 'hapana' ndio wametuambia mungu yupo na kwamba ukifa utaenda peponi au jehanam kulingana na matendo yako hapa duniani. Sasa kama mungu hakutupa masharti ya kuingia huko kwa nini tunaambiwa pana "amri kumi za mungu"?
wakupimwa wewe sio mzima
wewe unatumwa na chenge