Hii teknolojia kwa TZ bado Sana. Aina ya mafundi wanaofanya modification Ni changamoto SanaMbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga
View attachment 2197574
Ndiyo maana nimesema labda gari lake bovu au wewe ulidhani ni yeye pekee anayetumia CNG hapa nchini?Mtoa mada kasema kafunga kwenye Toyota Surf wewe unatoa mfano wa Malori ya Dangote
Kaa kimya Kama hujui vituNdiyo maana nimesema labda gari lake bovu au wewe ulidhani ni yeye pekee anayetumia CNG hapa nchini?
Siyo swala la akili, Swala la kiufundi, fundi anatakiwa atoe maelekezo juu ya matumizi ya gas.Ndio maana kuna mifumo yote inaweka inafanya kazi..
Petrol inaripuka na kutoa power ya kutosha ukilinganisha na hiy 'Gas'
Kiuhalisia ni kwamba ukiwa unafanya towing au unatak utumie nguvu nyingi basi una change energy source.. kutoka 'Gas' kwenda kwenye Petrol..
Ni matumizi ya AKILI tu.
Wewe unajua nini?Kaa kimya Kama hujui vitu
ImezibwaMkuu Abdallah_Kichwaz naomba uangalie katika Surf yako kama tobo hapo nilipozungushia limezibwa au kuna pipe. Maana yangu nilikuta kuna uwazi na unatoa hewa. Fundi alinishauri kuuziba. Kwa mantiki hiyo ningenda kujua kama yako kumezibwa au ni tundu lipo wazi.
Aksante kwa msaada wakoView attachment 2197732
Mkuu nakushukuru sana.Imezibwa
Usithubutu kufunga gesi bro. UtajutaMkuu nakushukuru sana.
Surf yenyewe 2LT ni full majangaMbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga
View attachment 2197574
Ndo maana nikakimbilia gesi nikidhani nitapata nafuuSurf yenyewe 2LT ni full majanga
Achana na fuel consumption.. Hizo engine pekee ni majangaNdo maana nikakimbilia gesi nikidhani nitapata nafuu
Gari yako ni ya mwaka gani na ina engine gani? Tuanzie hapo.Mbali na kuchukua nafasi kubwa kwenye gari (kwa kuweka mitungi) pia gesi unapoteza nguvu ya gari 40%. Ukichaganya na mafundi wetu wa kibongo lazima uue gari na ufundi wao wa kuunga-unga.
NB: nilifunga gesi kwenye Toyota Surf, yaani full majanga
View attachment 2197574
Tafuta CNG plug, zitadumu kidogo walau.Na inatafuna Plug kama haina akili nzuri
HalooAchana na fuel consumption.. Hizo engine pekee ni majanga
Kwa nn Mkuu?Ukishaona mtu mweusi anajihusisha na ufundi ogopa sana