mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
ilaπ.....nimekushindwa kwa ubishi...Atajua mwenyewe mbona mi nipo kwa avatar yangu
Ivi na ww unataka batle na mimi ππ hauna ubavu huo katoto π
Ila Marcy una kusudi eti we katoto
Well said πAniache,Leo siyo siku ya kuchokozwa....
Sipiganagi nao ila wanapigana namiIvi na ww unataka batle na mimi π
Wala sijawahi kufunga pm ila nina kajeuri mtu akinitumia sms kujibu nipende mimi.Fungueni pm π π
Mvua imenyesha kidogo tu. Jamaa yetu anapata tabu, na nyie pm mmefunga π πAniache,Leo siyo siku ya kuchokozwa....
π ndio uhalisiailaπ.....nimekushindwa kwa ubishi...
Kwanini sasa? Hako kajeuri kanatoka wapi? πWala sijawahi kufunga pm ila nina kajeuri mtu akinitumia sms kujibu nipenda mimi.
Mi ndo nipo ovyo kinyama,siku ipite tu kiukweliMvua imenyesha kidogo tu. Jamaa yetu anapata tabu, na nyie pm mmefunga π π
Wakati mwingine ni kuepusha gharamaNgoja tu wafunge, wanatusaidia sana, wangefunga wote huenda tungeokoka kwa mengi ππ
PM kuwa wazi ni temptation kwa Me walio wengi, ila ukijaribu na kuona PM ina kufuli ni "kuvuja kwa pakacha..."!
Hili ni kweli kabisa mkuuWakati mwingine ni kuepusha gharama
Unakuta mtu ukiangalia amejiunga leo jf kisha yuko pm kwako π π huyu ata sishuhuliki nae hata kuitikia salam najua ni likongwe limekuja pm nisilijue na wengine sitaki kuwa karibu naoπ¬ππKwanini sasa? Hako kajeuri kanatoka wapi? π
Pata bia kwa gharama ya mfuko wako; umeelewa vizuri madaHata kuweka milango kwenye nyumba zetu ni ubinafsi. Tujenge nyumba tusiweke milango
Kuku kabisa wewSipiganagi nao ila wanapigana nami
π π π ebu tupe uzoefu kwa nini umefunga; tunaweza kujifunza kituDah umenisimanga
Sasa si umjibu ili upate kumjua? Au labda akija na ID yake unamletea ukauzu sana π π πUnakuta mtu ukiangalia amejiunga leo jf kisha yuko pm kwako π π huyu ata sishuhuliki nae hata kuitikia salam najua ni likongwe limekuja pm nisilijue na wengine sitaki kuwa karibu naoπ¬ππ
Unaepushwa na mengi mkuu, shukuru Mungu ukikutana na makufuli huko.πWakati mwingine ni kuepusha gharama
Pole sana aisee. Hivi kuna bus za jioni Dar to Mbeya?Mi ndo nipo ovyo kinyama,siku ipite tu kiukweli
Mda ni Mali kwangu tena wengine huwa na like comment kuonyesha kwamba nimeona sms yako ila siijibu π¬πππSasa si umjibu ili upate kumjua? Au labda akija na ID yake unamletea ukauzu sana π π π