Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Shalom!
Serikali inayojali raia wake na mali zao ni ile inayochukua hatua za haraka sana pale jambo tatizi linapotokea kwa raia wake.

Ni hapa hapa Jamii Forum nimeandika na kurudia kwamba huyu Raia wa DRC anatumia imani ya Watanzania kutapeli na kujipatia fedha nyingi mno kinyume na taratibu za kiimani.

Hata kama nchi yetu haina dini lakini watu wake wana dini na imani zao, ni sharti Serikali inayojali watu wake kuangalia kama imani hizo zinaistawisha jamii au kuangamiza?

Nabii Dominic Kiboko ya Wachawi ameteua "engo" ya kuwapiga Watanzania masikini bila huruma akitumia staili ya ramli chonganishi. Kuna vifo vimetokea na vinaendelea kutokea kutokana na mahubiri ya Dominic anayevaa "gloves" nyeusi saa zote za ibada yake pamoja wasaidizi wake ambao wote ni wakongo.

Shuhuda za waliopoteza fedha kwa Dominic ni nyingi mno. Wengi wameuza mali zao kusaka maisha bora kwa Mzee wa Buza kwa Lulenge bila mafanikio. Baadhi ya kina mama wamefilisika kwa Dominic maana kukutana name ni Sh 500,000. Kukutana na wasaidizi wake (wakongo) ni kuanzia 100 000 hadi 300,000.

Wengine wameuza samani za ndani, nyumba, mifugo, nakadhalika kuponyeshwa magonjwa ya wazi kama Ukimwi. Presha, Saratani, Minyoo na kaswende. Wizard ya Afya iko wapi ku-clearify mambo haya ya kisayansi?

Kwa nini asiyafanye haya nchini Kongo? Kwamba mahaba yake ni kwa Watanzania pekee? Wajinga waliwao. Rwanda wameweza kudhibiti upumbavu huu. Kenya wamefuata na Burundi nao wameweza. Na sisi tuweze. Huyu tapeli apewe saa 24 kuondoka nchini na mali zake zitaifishwe ili iwe fundisho. Lakini na sisi umma tujiepeshe na hizi ramli chonganishi kupitia madhabahu ya kiimani. Hongera Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.
#KaziIendelee!
Si huyo peke yake, serikali ichukue hatua kwa makanisa yote yanayoitwa ya KIROHO,yakiongozwa na wanaojiita Nabii,Mtume,Kuhani n.k....makanisa yote yanayohubiri uponyaji,utajiri, kufungua nyota, kutabiri n.k.
Haya yote ni janga kwa jamii na kwa Taifa pia.
 
Wapo sahihi sana.


Kiboko ya wachawi hili jina limekaa kitapeli sana na amethibitisha kwa vitendo.

Congrats kwa serikali kwa kuliona hili.
kilinge cha kiboko ya wachawi sawa kukifungia anapiga pesa kiurahisi sana. bila sababu.
 
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeagiza kufungwa Kanisa la Christian Life Church linaloongozwa na Mchungaji Domique Kashoix Dibwe maarufu Kiboko ya Wachawi, lililopo Buza Kwa Lulenge, Temeke - Dar es Salaam baada ya kanisa hilo kwenda kinyume cha taratibu za usajili.

Barua ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Ofisi ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia ya Julai 25, 2024 imewaelekeza Mwenyekiti wa Kanisa la Christian Life Church na Mchungaji Dominique Kashoix Dibwe kufunga tawi la Kanisa hilo linaloendeshwa na mchungaji huyo.

Miongoni mwa sababu zilizotajwa za kufungwa kwake ni kutoa mafundisho yenye kuleta taharuki katika jamii na mahubiri ambayo ni kinyume na maadili, mila, desturi na utamaduni wa Kitanzania.

Madai mengine ni kutoa mahubiri yanayodhalilisha watu madhabahuni, kutoa mahubiri chonganishi na kuhamasisha waumini wa kanisa lake kuua watu kwa dhana au tuhuma za uchawi au ushirikina.

Baada ya kusambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Serikali imeagiza kufungwa Kanisa hilo, baadhi ya vitu kanisani hapo vimeondolewa
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Huyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
 
Huyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Huyo Kiboko ya wachawi ni TAPELI wazi wazi ,yale anayofanya ni MAIGIZO ,jana ndiyo maana TImes FM hawakuweka matango pori yake na hata sasa hivi simsikii Times FM ...Nadhani TImes Fm watakuwa wame athirika sana.
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Wachawi huwa na nguvu sana hadi serikalini wamejaa yeyeto atakaeinuka kupambana nao kiroho wakimshindwa utumia mamlaka kummaliza mfano kina kamchape,
 
Back
Top Bottom