Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Matapeli yapo mengi, yamejiingiza kwenye dini ili kuwalaghai watu wenye shida wasiojua kuyasoma na kuyaelewa maandiko matakatifu. Matapeli yanapotosha maandiko kwa wasiojua kupambanua roho wa Mungu na shetani, nuru na giza
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
 
Tena wamechelewa sana!! Toka jana ameibukia mikwambe kwa pinda, waambie wamfuate na huko!! Ikiwezekana wamtimue kabisa nchini!! Ile sio dini bali ni uchonganishi na utapeli tu
 
Bora hata mwamposa
Wivu tu wa ushindani na tishio la biashara ya kawe
Huyo kiboko ya wachawi alishamwambia mtu


"kuwa Hao watoto watatu,wawili sio wako mmoja ndio wako hakuishia hapo akamwambia mkeo ni mchawi anakuroga..."

Kama ni wewe umeambiwa hivyo utachukua hatua Gani?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…