Nani ambaye aliinyoosha? Bora Magu amecha uthubutu...wengine wametuachia story!!!. Unajua maendeleo yasipofika vijijini ni kama hakuna maendeleo? Tuendeleze vijiji kwa barabara, maji na umeme. halafu ndio tuanze kulaumiana.Jiwe alikopa kupitiliza kiasi kwamba wanaomrithi wanabeba mzigo wa madeni na kuathiri mipango na malengo yao kwa nchi.
Umesahau Jiwe alimuomba Mfalme wa Morocco atujengee msikiti na uwanja wa mpira kule Dodoma?
CCM karibu wote ni failure kwenye kila kitu na hakuna mwenye haki ya kumlaumu mwingine.
Acheni unafiki, Magu kaharibu sana hii nchi .
Kufungulia nchi kulikomaanishwa ni kuiondoa nchi kutoka kwenye udikteta wa kudhibitiwa na mtu mmoja - kuwapora watu pesa zao, kuwabambikizia watu kesi za uchumi, kuwatesa na kisha kuwalazimisha wakiri makosa na kisha kuwanyan'anya pesa zaoInawezekana wakati mama anaenda kufungulia nchi anaweza kufungulia hizi hisia za kutukuza na kukumbushana juu ya kile kinachoitwa umaskini wetu? Tunatakiwa kutokujaribu au kuthubutu kufanya makubwa kwa sababu sisi ni masikini? Ndio mwanzo wa kuanza kuombaomba tena...maskini wa fikra hatajiriki na hawezi kutoka kwenye umaskini ambao anaamini unamnufaisha. Inanikumbusha kile kisa cha"Mtumwa Mpendwa" aliyefurahia kupendelewa na bwana wake hadi siku ile yule bwana alipokufa...
Mama ana kazi na kibarua kigumu..maana hata kufoka hawezi na akiwabwatukia watalia hawa kama watoto waliodekezwa, wakadeka, na kudekeka..mtaa mzima utawasikia...na hawanyamazi hadi wapewe "fanta"
Nchi ilikuwa chini ya itumwa wa shetani. Sasa watu wawe huru kufanya shughuli zao kwa uhuru alimradi hawavunji sheria. Watu wasiwe na hofu ya pesa zao kufungiwa kwenye account za mabenki na kusingiziwa wahujumu uchumi. Kutoka kwenye utawala wa upendeleo na chuki kwa misingi ua eneo mtu atokalo au kabila lake.Ni vyema kwanza tukajadili tafsiri ya kufungua nchi...nini maana ya kufungua nchi...na kwanini Mama anasema anafungua nchi..
Wahi hospitali maana huelewi hata watu wanajadili nini. Hizo ndizo dalili za awali za mtu mwenye matatizo ya afya ya akili.Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!
Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??
Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Acha woga tafta pesaKazi na bata imerudi ndugu zangu.
Unanijua mimi ni nani???
Makamanda uchwara wamefutika pamba masikioni. Sidhani kama watakusikiliza.Inasikitisha sana ukifuatilia page na post mbalimbali za Chadema wanavyotukanwa kwenye comments na wachangiaji.
Kuna group linaitwa Chadema in blood kule facebook yani kila wanachopost ni kutukanwa tu na watu, huko instagram ndiyo balaa kabisa, njoo Jamii forum hali ni hiyo hiyo!
Nimeangalia comments za kwenye hotuba ya Mbowe aliyoitoa akisema vibaya utawala wa hayati Magufuli, kwa kweli ni huzuni raia walivyomtukana Mbowe. Swali la kujiuliza Chadema imefikaje huku?
Enzi za Dr Slaa ulikuwa unavaa gwanda la Chadema kwa maringo yote ,leo tuvae kwa aibu ya kujifichaficha?
Je Tundu Lisu ameharibu image ya chama baada ya kuanza kutetea mabeberu?
Je ni Mbowe ameharibu image ya chama baada ya kuwa anaangushwa na konyagi anasingizia amepigwa na wasiojulikana?, au ule uongo wake wa kuibia familia inapompeleka mahakamani anasingizia amefungiwa akaunti zake na serikali??
Kiukweli inahitajika tathimini ya haraka sana kuikoa na kuirudisha Chadema kwa wananchi ili waiamini tena kama zamani.
Huyo alikuwa mnufàika wa sukuma Gang,haamimi Kama tuko awamu ya 6,mwachie aitwe Mataga.1. Huogopi kuitwa MATAGA?
2. Wewe ni Sukuma Gang!
3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.
4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Alinufaikaje?Huyo alikuwa mnufàika wa sukuma Gang,haamimi Kama tuko awamu ya 6,mwachie aitwe Mataga.
Sukuma Gang inapukutika.
Duh...seriously nadhani tunaelekea kubaya sana1. Huogopi kuitwa MATAGA?
2. Wewe ni Sukuma Gang!
3. Utaambiwa unamchukia Mama 🤣.
4. Usisahau kuwa huyu Mama hakosolewi! Ukithubutu tu, utaambiwa unamtaka Magufuli ila bahati mbaya harudi tena!
Wewe ni mjinga na mpumbavu....Sukuma gang ndiyo kitu gani? Kwanini unawabagua watu wengine? Mshenzi mkubwa wewe...Huyo alikuwa mnufàika wa sukuma Gang,haamimi Kama tuko awamu ya 6,mwachie aitwe Mataga.
Sukuma Gang inapukutika.
Vikwazo Vya kipuuzi Hatari mno,kwa Mfano........,...( Vitaje Mkuu)China chini ya Deng Xiaoping alifungulia nchi, huku ndiko mama anavyomaanisha.
Kuondoa vikwazo vya kipuuzi vya kuleta investment na kuondoa urasimu kwenye kuanzisha business.
Sasa kufungulia nchi na kuomba mbona haviendani naona mko busy kutwist maneno yake na kuyafanyia spinning ili kupotosha!
So far so good, Nchi inaenda vizuri vhini ya mama Samia, kafanya kazi nzuri sana kwenye siku zake 50 za kushika usukani, aneonyesha njia nzuri mno
Kwa lipi?JPM ni rais wa kihistoria hatakuja atokee kama yeye miaka hata 60 mbele. The real definition ya uongozi, uwajibikaji na nidhamu kwa mali ya umma.
Baada ya kusema ukweli huu na mimi ni msukuma?
Akikujibu, ni-tag tafadhali...Kwani chadema ndio walivyosema? 1.5T Prof kama Prof Assad si ndio aliyesema? Deni la taifa kuongezeka ndio chadema walisema? Si waziri ndio aliyesema? Chato airport chadema ndio wamejenga? Si ilisemwa na wabunge bungeni? Jiwe alitapakanya fedha sana kwa ajili ya kufanya biashara ya utumwa kununua wapinzani.
Sio mmekalili, bali mmekariri... typical JPM Supporter!!!Umemezeshwa pumba yani chadema kuna maneno mmekalili kama vifungu vya bible wote you sound the same.
Kwani nilishakataa kwamba serikali hapa Tanzania haiwezi kufanya biashara na kufanikiwa, au unamaanisha kitu gani?Kama wewe unavyoamini kwa sababu mashirika ya serikali China yamefanikiwa kibiashara sana basi hata hapa Tanzania serikali inaweza kufanya biashara na kufanikiwa.
Wavuvi wanaovua Bahari ya Hindi...Wenzake wakina nani? Nao pia walifia ofisini ndani ya miaka 5+ ya utawala wao?? Acha blah blah za kuandika vitu bila ushahidi au mantiki yeyote, wataje hao walio acha reli toka Tanzania mpaka Zambia na hayo mengine ili tuwajadili. Hayati muheshimiwa Jiwe, alikuwa na mapungufu kemkem kama binadamu yeyote yule, ila ninyi wapinzani wake, shutuma zenu nyingi ni za kutengeneza, uongo wa dhahiri, hamna ushahidi na mnaongeza chumvi mno wakati mwingine. Kitu ambacho hamtaweza kumnyang’anya muheshimiwa, marehemu Magufuli ni uthubutu wake na ‘visheni’ yake kuwa Tanzania ilipasa kwanza kufunguliwa ndani kabla ya kufunguliwa kiholela nje ili watanzania wanufaike na Tanzania badala ya kubaki manamba, wafagiaji na waosha vyombo wa wageni. Kama ambavyo muheshimiwa Jiwe haku maliza muda wake, hii ngoma bado! Kumbuka kuna uchaguzi 2025....au kama dada Samia ana ubavu, avunje serikali, tufanye uchaguzi sasa ili apate “mandate” ya kufanya vurugu anazotaka. Vinginevyo, hii kitu inaonyesha kama kuna faulo...
Yaani kukuelimisha kwamba andika kwa kutumia paragraph ili usomeke vizuri ndo kujitia ujuaji... una matatizo si kidogo!!Tatizo lenu lingine watu dizaini yako, ni ujuaji mwingi bila kujua, kumbe unatumika tu kama malaya muuza nyata barabarani.
Wanaongea kama vile nchi ilikuwa inajitegemea kiuchumi. Wakati kila mwezi TRA wanaiba hela za watu benki. Deni la taifa limekuwa mara ngapi?Tukiacha ushabiki awamu ya tano nchi ilikuwa imejifunga na hali ya mzunguko wa hela ilikuwa ngumu kuanzia kwa wafanyabiashara mpaka wafanyakazi.... ushahidi ni pale JPM mwenyewe kila meimosi alipogoma kuongeza mishahara na kusema mpaka miradi iishe, upande mwingine makampuni kadhaa yalifunga biashara na confidence ya uwekezaji ikawa imeshuka kabisa.. Serikali awamu ya tano ilitoa watu kazini maelfu kwa kisingizio cha vyeti feki na haikuajili kureplace hao waliotoka, Serikali iliacha kuajili maelfu kwa malaki wakabaki mtaani hawana kazi...
Mbinu zilizotumika awamu ya tano kwa kuwataka watu wafunge mikanda ndio maendeleo yaje, ni mbinu za kizamani, karne ya sasa modal za uchumi ni kuleta maendeleo kwa pamoja kwa maana ya maisha ya watu na vitu kwa pamoja hiyo ndio akili.... na ndio tunaposema nchi imefunguka..
Uchumi wa Tanzania ni mdogo, uzarishaji wa Tanzania ni mdogo, watanzania ni masikini wa akili na kipato huu ndio ukweli bila propaganda..Kuifungua nchi ni kufanya wepesi wa mitaji kuja na watanzania kuingia kwenye mzunguko, watu kuja watanzania kupata uzoefu na exposure, investments kubwa kufanyika maelfu na malaki wapate ajira serikali iingize kipato...
Mwisho kabisa, nitajie awamu moja toka uhuru ambayo haijawahi kusaidiwa, kukopeshwa au kupewa msaada...