Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Kuna wale wanatoa ushuhuda milioni imeingia mpesa huwa napata shida sana, pesa inaingia from where!!!?Siku hizi manabii walio wengi wamegeuka kuwa machawa wa rais.Kilichotokea kwenye sherehe ya kutimiza miaka 17 ya WRM wengi tulibaki tunashangaa.
Eti kuhani? Bila hata haya, hao ni matapeli wasio hata na aibu.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2953924
Watanzania mtaji wao ukiwa ujinga na umaskini wa wananchi.Kamtapeli Nani?
Wa Bagamoyo utuache chiefUtamjulia wapi jamaa yangu na wewe unashinda Bagamoyo na Handeni!
Haya fanya wewe, anayofanya yeye yanatoshaHawa waganga njaa tu kwanini hawafanyi miujiza
- Nchi ikajitambua
- Tukaondokana na utegemezi
- Wao wakawa donnors badala ya kuwa recepients wa sadaka
- Tukaondokana na magonjwa
Hao unapashwa kuziba masikio mkuuKuna wale wanatoa ushuhuda milioni imeingia mpesa huwa napata shida sana, pesa inaingia from where!!!? Na
Sema kweli bwana,.sio hela hawacharge fedha.
Aminaaa ya radiI appreciate kuhani mussa, kuna issue ambazo siamini mpaka leo, jinsi nilivyotibika, of course nilikuwa na shida ya usingizi silali usiku kucha, lakini nilipo kwenda kwake mara tatu tu, nikashangaa napata usingizi vizuri mno, simbezi wala kumkebei.
-Mungu amuongeze upako!
Serikali inaangalia nani ana watu wengi ndo inamuweka karibu.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili imeambatanishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo na Kuhani Mussa mara baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Aprili, 2024.
Jina la Bwana lihimidiwe
View attachment 2953924
kweli vile hawana cha hela bwana, ukiwa na imani kuna vitu utaona na majibu ya mambo yako mengi utaona.Sema kweli bwana,.
Kapata info zipi mkuuHuyu Kuhani Mussa anatakua amepata info zooote za mama hapo. Maana kansan kwake hata uje na hirizi atakuinua tu
Weka namba yake, tukqmsalimirKanisani pake pale temboni , Kuna dada Moja anamgahawa mnyatulu kwa kweli hua nacheka
Mzuri Sana ,mama junia
Pendapenda nyie mnaweza katiza mtaniletea majibu
Wewe ni kubwa jinga, jina lake ni Musa? [emoji16]I appreciate kuhani mussa, kuna issue ambazo siamini mpaka leo, jinsi nilivyotibika, of course nilikuwa na shida ya usingizi silali usiku kucha, lakini nilipo kwenda kwake mara tatu tu, nikashangaa napata usingizi vizuri mno, simbezi wala kumkebei.
-Mungu amuongeze upako!
Anaheshimu sana viongozi wa Dini ya Kikristo hapa akiongea na Nabii Suguye na waumini kwa simu na kumkabidhi sadaka Nabii Suguye ya Shilingi milioni 10 pasakaKiongozi wa kiroho namkubbali sana.
Ukifika mbinguni ndio Utashangaa zaidi utakutana na ambao huwajui kabisaNdiyo namsikia leo