Katumbasongwe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,017
- 1,138
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tupo Bwana mdogo! That is a fallacy of generalization,kila Imani ina watu ambao ni extremist, mbona huko kwenu Kuna wale Boko Haram, alquaida, alshabab, Janjaweed wale wana Akili, kuchijnja watu kisa hawataki kuwa upande wao?Hakunaga mlokole mwenye akili timamu
Wewe na hao uliowaponda hamna tofauti, kulikua na sababu ya kumalizia comment yako kwa kejeli ya aina hiyo?Ni shuhuda za uchonganishi na mafarakano na huo sio msingi wa Kikristo. Watu wengi hamjui na mnaulaumu sana Ukristo kwa ajili ya uhuni wa wazi wachache...
Rubish: kufukia vitu ndo akili sasa? si bora huyo aliyeamini atalindwa na Mungu kuliko huyo mpumbavu anayefikiri kitu amekifukia ardhini kitamlindani kweli,mfano mlokole akijenga nyumba anaamini kwa imani tu Mungu anamlinda,lakini dini zingine lazima wafukie vitu kujua kuwa kweli kuna ulinzi...
Walokole ni watu wajinga zaidi kuwahi kutokeaAcha siri za shetani xiwekwe wazi wengi wajifunze. Uchawi hauna umri tena watoto wadogo ni hatari sana kwenye uchawi sababu wanakuwa hawana ufahamu
Wanakwenda pale Wagonjwa wanazuiwa kunywa Dawa kisa Eti anawaombea....Wakizidiwa akaona hali mbaya anapeleka pale Hospital ya Boch,Bahati mbaya wakifa wanakuwa hawajulikani wakifuatwa pale kanisani wanakana kutomjua Marehemu.....Upo umuhimu kumtazama huyu jamaa aiza yeye au kuna Watendaji wake hawako sawa....Huyo jamaa muhuni kawatengenezea script na anataka wapite mule mule,anazingua sana.
Dini sio utapeli we fala sema ukafir ndio utapeli
Hakunaga mlokole mwenye akili timamu
True story,Nilikuwa nimelala usiku,nikiwa usingizini nikawa nawaona vijana wa kiume wawili waliokuwa wamevaa vitambaa vyekundu kama wamejifunga kanga nyekundu wakisema tuile nyama alafu at meantime i was pregnant..nilishtuka kutoka usingizini majasho yakiwa yananitoka.Asubuhi huwezi amini nikaona my period so mimba iliharibika.Mnaweza msiamini but wachawi sasa hivi ni watoto kwa vijana ile zana ya wazee kuwa wachawi ishapitwa na wakati juu ya hao wazee wakifa unadhani watarithishwa kina nani?Habari,
Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.
Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.
Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.
Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.
Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.
Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana
Ukiwa na Mimba wale wanao kuzunguka na wewe mwenyewe mnabiidi mswali/msali sana maana mwenye mimba kwa wachawi ni km chui na swala.True story,Nilikuwa nimelala usiku,nikiwa usingizini nikawa nawaona vijana wa kiume wawili waliokuwa wamevaa vitambaa vyekundu kama wamejifunga kanga nyekundu wakisema tuile nyama alafu at meantime i was pregnant..nilishtuka kutoka usingizini majasho yakiwa yananitoka.Asubuhi huwezi amini nikaona my period so mimba iliharibika.Mnaweza msiamini but wachawi sasa hivi ni watoto kwa vijana ile zana ya wazee kuwa wachawi ishapitwa na wakati juu ya hao wazee wakifa unadhani watarithishwa kina nani?
Kuhani Musa sio tapeli,kuwa makini sana na unachojitengenezea kichwani mwako ..fanya vyote ila usiingilie kazi ya watumishi wa Mungu cause sio kazi rahisi ambayo kila mtu anaweza ifanya.Ni muda sasa Mungu atawale na uwepo wake udhiirishwe kwenye maisha yetu cause watoto wetu ,familia zetu zinaharibikiwa na yote kwasababu hatuna uwepo wa Mungu ndani yetu.
Wacha kusema Watumishi wa Mungu!
🤣😜😆😄😁😀😂Wewe na hao uliowaponda hamna tofauti, kulikua na sababu ya kumalizia comment yako kwa kejeli ya aina hiyo?
Wanakwenda pale Wagonjwa wanazuiwa kunywa Dawa kisa Eti anawaombea....Wakizidiwa akaona hali mbaya anapeleka pale Hospital ya Boch,Bahati mbaya wakifa wanakuwa hawajulikani wakifuatwa pale kanisani wanakana kutomjua Marehemu.....Upo umuhimu kumtazama huyu jamaa aiza yeye au kuna Watendaji wake hawako sawa....
Ila waumini wake huwaambii kitu kuhusu hiyo miujizaHuyo jamaa ukimsikiliza vzr hasa shuhuda utajua ni utapeli mtupu,
huo ndio ukirisito bila uongo ukirisito haupo bila mziki vilio usiku kucha hakuna ukiristoHabari,
Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.
Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.
Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.
Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.
Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.
Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
huo ndio ukirisito bila uongo ukirisito haupo bila mziki vilio usiku kucha hakuna ukiristo
Swala[emoji23] la kusikia kuwa nilikuwa malikia wa kula nyama Ni kawaida Sana pale kwa Musa na Hakuna utani kwenye Hilo sijui hao watot wanatowaga wapi na wa maeneo ganiHabari,
Huyu jamaa Kuhani Musa Richard Mwacha wa Kimara temboni ni muhuni na hafai kuwa kiongozi wa dini.
Kwanini nasema hivi? Kila siku ya leo ana ibada ambayo huenda mpaka saa nne hivi ya usiku.
Na majira ya usiku katikati ya ibada kinawekwa kipindi cha shuhuda. Ukifuatilia kwa undani utaona ni kama anawapanga watoto wadogo wakajisalimishe kwake yaani wanakwenda kwa Kuhani kukiri kuwa ni wachawi na walikuwa wanakula nyama za watu.
Ni kama wamemezeshwa maneno, kila kitoto cha kike kinasema yeye ni malkia na anakwenda makaburini kula nyama za watu. Huu ni uhuni wa wazi kabisa.
Hebu wenye mamlaka msiishie kutoa vibali vya makanisa tu. Fuatilieni na yanayotendeka huko makanisani. Hili jambo linafanyika kila siku. Fuatilieni kupitia TV yake au classic FM radio.
Shuhuda za fulani kataka kumuua fulani zimejaa na washirika wake wanazipenda sana.
Siyo Kweli Huna uhakika wapo tele usiwabezeHakunaga mlokole mwenye akili timamu
Acha sifa za kijinga hazisaidii.Hakunaga mlokole mwenye akili timamu