Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY


Cancer

View attachment 2124268

Baada ya siku2
View attachment 2124312


Baada ya miezi 2

View attachment 2147561




Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo



Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.

Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa

Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika

Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi











Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?

Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma




Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani

Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana




Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa

Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo





Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi







GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?

Huondosha magonjwa yote yenye uhusiano na nguvu za kiza, kwa yale ambayo ni ya mapenzi ya muumba hayaponi hata kidogo, elewa hilo wana nguvu nzito kupitiliza ya kushindana na vyote vilivyoingia kwa nguvu za giza na uchawi.
[/QUOTE]
Priest Rich Mwacha is a true man of God because he strictly proclaims the word of the living God, and he rebukes sinners and evils with sacred actions.
 
Mimi ni msikilizaji wa wahubiri wengi wa imani na madhehebu tofautitofauti

Na naweza kusema bila kificho wala kupepesa macho kwamba Kuhani Musa Richard Mwacha ni Kati ya watumishi wachache wachache wanaokemea uovu waziwazi na kuishi kile wanachokihubiri












Watu mnajidanganya na kudanganyika sana. Huyu kuhani ni mtoto wa kiroho wa Mlirege kameka a. k.a (mzee wa Yesu) occultic grandmaster kutoka Congo ambaye alifurushwa juzi juzi na uhamiaji kurejea kwao Drc.
Haya makanisa ya waabudu shetani yatawakokota maelfu ya wa Kristo wapenda miujiza. Hawa watapoteza wengi yamkini hata wateule kwa kuyakataa maarifa ya Neno la Mungu.
Biblia inasema wazi siku za mwisho watu watayakataa mafundisho ya Mungu yenye uzima, na kugeukia mafundisho ya mashetani..
Yesu alisema, MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Sio kukemea vitu hadharani, ni kuishi hivyo anavyokemea..
 
Watu mnajidanganya na kudanganyika sana. Huyu kuhani ni mtoto wa kiroho wa Mlirege kameka a. k.a (mzee wa Yesu) occultic grandmaster kutoka Congo ambaye alifurushwa juzi juzi na uhamiaji kurejea kwao Drc.
Haya makanisa ya waabudu shetani yatawakokota maelfu ya wa Kristo wapenda miujiza. Hawa watapoteza wengi yamkini hata wateule kwa kuyakataa maarifa ya Neno la Mungu.
Biblia inasema wazi siku za mwisho watu watayakataa mafundisho ya Mungu yenye uzima, na kugeukia mafundisho ya mashetani..
Yesu alisema, MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Sio kukemea vitu hadharani, ni kuishi hivyo anavyokemea..

Umeona wapi akifundisha mafundisho ya mashetani?
Wapi ambapo hakemei vitu mashetani?
Thibitisha tuhuma zako
Ukishindwa basi wewe ndio Mwalimu wa mafundisho ya kishetani
 
Watu mnajidanganya na kudanganyika sana. Huyu kuhani ni mtoto wa kiroho wa Mlirege kameka a. k.a (mzee wa Yesu) occultic grandmaster kutoka Congo ambaye alifurushwa juzi juzi na uhamiaji kurejea kwao Drc.
Haya makanisa ya waabudu shetani yatawakokota maelfu ya wa Kristo wapenda miujiza. Hawa watapoteza wengi yamkini hata wateule kwa kuyakataa maarifa ya Neno la Mungu.
Biblia inasema wazi siku za mwisho watu watayakataa mafundisho ya Mungu yenye uzima, na kugeukia mafundisho ya mashetani..
Yesu alisema, MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Sio kukemea vitu hadharani, ni kuishi hivyo anavyokemea..
Mzee mkongo askari wa siri wa karibu kipindi cha Mobutu Sese Seko, alikimbia Congo kipindi Mobutu ameondoshwa madarakani.
 
***** wakati wazungu, wahindi,wachina na wajapan wanapambana kuvumbua technolojia mpya nyie bado mnahangaika na dini na manabii wa uongo. Ndio maana Paul Kagame mie namkubali sana alikutaa huu upuuzi wa makanisa kuibuka kama uyoga...ndio maana mmekuwa ma jinga haswa watu wanatorosha almasi na dhahabu yenyewe yamelala usingizi wa pono.
 
Watu mnajidanganya na kudanganyika sana. Huyu kuhani ni mtoto wa kiroho wa Mlirege kameka a. k.a (mzee wa Yesu) occultic grandmaster kutoka Congo ambaye alifurushwa juzi juzi na uhamiaji kurejea kwao Drc.
Haya makanisa ya waabudu shetani yatawakokota maelfu ya wa Kristo wapenda miujiza. Hawa watapoteza wengi yamkini hata wateule kwa kuyakataa maarifa ya Neno la Mungu.
Biblia inasema wazi siku za mwisho watu watayakataa mafundisho ya Mungu yenye uzima, na kugeukia mafundisho ya mashetani..
Yesu alisema, MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO. Sio kukemea vitu hadharani, ni kuishi hivyo anavyokemea..
Cha kushangaza ni Mungu gani aliye hai anayetenda kazi kupitia maji namafuta ya kunuiza? Kwanini kuna masharti kwa mtu anayehitaji kuombewa afunguliwe kwamba ni lazima atoe sadaka kuanzia shilingi laki tano na watoto shiling elfu hamsini?

Mafundisho ya neno la Mungu na kukemea dhambi anafanya vizuri lakini kwanini ili uombewe ni sharti utoe sadaka kubwa iitwayo maombi ya kujiungamanisha na kuweka maagano na Mungu?

Roho mtakatifu awafunulie watu wasije wakaangamia kwa kukosa maarifa ya rohoni
 
Sijawahi kumpa mwanamke sikio na sitarajii
 
Bwana Yesu amenifuata usiku nikiwa kwenye MAOMBI na kunambia kuwa Jumanne hii tufanye Ibada ya MSALABA na CHUMVI...
 
mama D vipu kuhani wako na kuwadhalilisha waumini waliohama?



Waumini gani waliohama? Lini wamehama? Wapi wamehamia? Na kawadhalilishaje?

Nimetoka kanisani asubuhi nipo online hapa nasikiliza sijaskia chochote
 
Waumini gani waliohama? Lini wamehama? Wapi wamehamia? Na kawadhalilishaje?

Nimetoka kanisani asubuhi nipo online hapa nasikiliza sijaskia chochote
Ngoja nikuletee video kuhani akiwa madhabahuni anawatusi
 
Nakuwekea vipande vya video hivi karibuni tulia kidogo

Karibu, wakati unaweka video endelea kufuatilia mafundisho


Kama upo Tanzania mfuatilie kwa JEHOVAJIRE TV channel 006 Azam, 455 Startimes
 
Back
Top Bottom