Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

mama D, kwa hiyo huyo malkia wa freemason alishiriki kumwua mkuu wa nchi na sasa ndo alianza kuparanganyisha mihili ya dola kama ilivyoanza kutokea kwa mihimili miwili bado mmoja?

The spiritual world is undefined....
 
mama D, kwa hiyo huyo malkia wa freemason alishiriki kumwua mkuu wa nchi na sasa ndo alianza kuparanganyisha mihili ya dola kama ilivyoanza kutokea kwa mihimili miwili bado mmoja?

The spiritual world is undefined....

Ulimwengu wa roho na roho zake

Nafuatilia, nikipata taarifa iliyo kamili kwa ukamilifu nitakutag
 
Kuhani Musa hili ni Jukwaa la Siasa
 
'WATU' wakija kuamka tayari jamaa hawahitaji tena, ... na huenda akawa hata mbunge! πŸ˜…
 
Inatakiwa kuhani aisaidie Polisi kuhusu hao wauaji!
Yaani isiishie tu mtu kutoa ushuhuda, tunataka jeshi letu la Polisi pia lihusishwe!
 
Ilikuaje mama kubwa?
Tuambie kidogo inaweza kutufungua ufahamu zaidi
Siruhusu MTU yoyote akubaliane na Mimi lakini hili ni Jambo lililonitokea Nina miezi miwili nasali pale hata sijaenda kushuhudia bado.Sina MTU/ kiongozi ninaemfahamu pale baada ya kuumwa muda mrefu nilimshirikisha Rafiki yangu Yuko Mkoani,na matatizo mengine ya binafsi akaniambia niende pale. Kwanza lazima nikiri SIJAWAHI kusali kwenye haya Makanisa sababu sikuwa NAYAAMINI. Baada ya kwenda pale hata ugonjwa uliokuwa unanisumbua Kwa miaka 12 UMEYEYUKA. Ndio maana nasema IMANI Kwanza Mimi yamenitokea na siwezi kunyamaza hata nikiitwa mjinga cha muhimu NIMEPONA.
 
Pia kuna mafuta ya bei tofauti ya kuogea/kujipaka/kujifukiza ili kuondoa tatizo la muumini yenye bei tofauti kutegemea na ukubwa wa tatizo lake!
 
Maigizo na waigizaji wwaongezeka kila uchao na uchwao
 
Sio clips TU dada huyu yupo mitaa ninayoishi namsikia kila siku HASA USIKU ,ni mganga wa kienyeji TU aliyechangamka yesu alitoa Bure, hizi shuhuda ni michongo japo miujiza ipo

USSR
Unasalimiwa na Lukas 😁😁😁😁😁
 
Hata shetani pia anaweza kutenda miujiza
 
Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje

Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Unafanya biashara hapa.
 
AGENT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…