Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

EXTREMELY MAGICAL POWER CAPABILITY, AMBAZO ZINAPATIKANA MALAWI NA NIGERIA MITEGO YAKE IKISHASIMIKWA KATIKA ENEO LA KANISA I NAKUWA NI NGUVU KUBWA KWELI YA KUKIMBIZA NA KUFUKUZA VIUCHAWI VIDOGO VIDIGO KATIKA ENEO HUSIKA PAMOJA NA MAJI MAALUMU AMBAYO HUJA KATIKA CHUPA NDOGO SANA LAKINI HUCHANGANYWA NA PIPA ZIMA.
N. B, IKIWA UMETUPIWA KITU KIBAYA KWA NGUVU ZILIZOPO KITAKIMBIA LAKINI UKIWA KWA MAPENZI YA MUNGU UMEZALIWA MLEMAVU UTABAKI KWA KADRI ULIVYOUMBWA.
IT CALLED "" SPIRIATUALISM BUSNESS THRUOGH JESUS NAME AND BIBLE""
 
EXTREMELY MAGICAL POWER CAPABILITY, AMBAZO ZINAPATIKANA MALAWI NA NIGERIA MITEGO YAKE IKISHASIMIKWA KATIKA ENEO LA KANISA I NAKUWA NI NGUVU KUBWA KWELI YA KUKIMBIZA NA KUFUKUZA VIUCHAWI VIDOGO VIDIGO KATIKA ENEO HUSIKA PAMOJA NA MAJI MAALUMU AMBAYO HUJA KATIKA CHUPA NDOGO SANA LAKINI HUCHANGANYWA NA PIPA ZIMA.
N. B, IKIWA UMETUPIWA KITU KIBAYA KWA NGUVU ZILIZOPO KITAKIMBIA LAKINI UKIWA KWA MAPENZI YA MUNGU UMEZALIWA MLEMAVU UTABAKI KWA KADRI ULIVYOUMBWA.
IT CALLED "" SPIRIATUALISM BUSNESS THRUOGH JESUS NAME AND BIBLE""
Angalau wewe umesena Mimi nimepona ndio muhimu. Nimepunzika kunywa madawa kila siku.
 
EXTREMELY MAGICAL POWER CAPABILITY, AMBAZO ZINAPATIKANA MALAWI NA NIGERIA MITEGO YAKE IKISHASIMIKWA KATIKA ENEO LA KANISA I NAKUWA NI NGUVU KUBWA KWELI YA KUKIMBIZA NA KUFUKUZA VIUCHAWI VIDOGO VIDIGO KATIKA ENEO HUSIKA PAMOJA NA MAJI MAALUMU AMBAYO HUJA KATIKA CHUPA NDOGO SANA LAKINI HUCHANGANYWA NA PIPA ZIMA.
N. B, IKIWA UMETUPIWA KITU KIBAYA KWA NGUVU ZILIZOPO KITAKIMBIA LAKINI UKIWA KWA MAPENZI YA MUNGU UMEZALIWA MLEMAVU UTABAKI KWA KADRI ULIVYOUMBWA.
IT CALLED "" SPIRIATUALISM BUSNESS THRUOGH JESUS NAME AND BIBLE""

Naona wewe umesahau kwamba Mungu aliyekuumba hana nguvu kabisaaaa na kuamua kurudisha utukufu wote kwa shetani

Ninachojua mimi kwa imani yangu
Yohana 14:13-14
"Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya."

Yohana 14:12
"Hakika nawaambia, yeyote anayeniamini atafanya mambo kama yale niliyoyafanya. Naye atafanya mambo makubwa zaidi ya yale niliyofanya, kwa sababu mimi naenda kwa Baba."
 
Nilikuwa Mbishi Sana lakini NIMEPONA na sioni aibu kusema kuwa ninasali pale na nitaendelea kwenda.
Nilikuwa Mbishi Sana lakini NIMEPONA na sioni aibu kusema kuwa ninasali pale na nitaendelea kwenda.
As I stated above ulikuwa unaumwa kiuchawichawi hivyo kauchawi ni lazima kakimbie do to massive magical anti wizard power.
 
Naona wewe umesahau kwamba Mungu aliyekuumba hana nguvu kabisaaaa na kuamua kurudisha utukufu wote kwa shetani

Ninachojua mimi kwa imani yangu
Yohana 14:13-14
"Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana. Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya."

Yohana 14:12
"Hakika nawaambia, yeyote anayeniamini atafanya mambo kama yale niliyoyafanya. Naye atafanya mambo makubwa zaidi ya yale niliyofanya, kwa sababu mimi naenda kwa Baba."
"Imani za namna hii binadamu wengi hazipo, "kwani kumbuka utakapokuwa na Imani kidogo sana kama punje ya HARADALI utweza kuamisha mlima, yesu hakutumia machumvi wala mafuta alinena tu na IKIWA
 
As I stated above ulikuwa unaumwa kiuchawichawi hivyo kauchawi ni lazima kakimbie do to massive magical anti wizard power.

Yohana 9: 25-30
Basi yule mtu akajibu, Kwamba yeye ni mwenye dhambi sijui. Najua neno moja, kuwa mimi nalikuwa kipofu na sasa naona.
Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?
Akawajibu, Nimekwisha kuwaambia, wala hamkusikia; mbona mnataka kusikia tena? Ninyi nanyi mnataka kuwa wanafunzi wake?
Basi wakamshutumu, wakasema, Wewe u mwanafunzi wake yule; sisi tu wanafunzi wa Musa.
Sisi tunajua ya kuwa Mungu alisema na Musa; bali yule hatujui atokako.
Yule mtu akajibu, akawaambia, Hii ni ajabu! Kwamba ninyi hamjui atokako, naye alinifumbua macho!

Natamani kushuhudia na mimi mama kubwa siku nikifika Dares salaam utakua mwenyeji wangu
 
Uko wapi mkuu? Natamani kupata upinzani wenye majibu ya maswali yangu na hizo shuhuda lakini naambulia shutma tuu
Ngoja nikufungue akili kidogo kwa shuhuda hizi ambazo nimetokea kuziamini ila hawa manabii wa bongo tumepigwa
Nimekuwekea sehemu za kwanza ila wewe tafuta muendelezo youtube


 
"Imani za namna hii binadamu wengi hazipo, "kwani kumbuka utakapokuwa na Imani kidogo sana kama punje ya HARADALI utweza kuamisha mlima, yesu hakutumia machumvi wala mafuta alinena tu na IKIWA

Mimi ni mkristo mkatoliki ninachojua sio chumvi na mafuta tuu na mafuta vinatumika kanisani kwetu
Tunatumia pia maji, divai, sakramenti, matawi ya mizeituni na vitu vingine vingi tukisimama na matumizi yake kwa mitume na manabii na kwa maelekezo ya maandiko

Yesu hakuja kuitengua torati bali kuitimilisha
 
Hao wanaojiita sijui nabii au mitume huku wakiweka kambi kwenye miji mikubwa, Wala huwezi kuwasikia wakihuburi habari za ufalme wa Mungu, wakiwaambia watu waache dhambi, waishi maisha matakatifu Ili wasije wakaangukia katika ziwa la moto, wao wamebaki kukomaa na injili za utajirisho ooh magari, ooh majumba, mafanikio huku waumini wakifanyika fursa hizo sadaka zimeitwa Kila majina, Ili kumnasa mtoaji ndio Maana wao utaona wananeemeka huku wanao wafanyia hiyo miujiza Hali zao zikibaki kuwa mbaya
 
Isaya 5:13-14
[13]Kwa sababu hiyo watu wangu wamechukuliwa mateka, kwa kukosa kuwa na maarifa; na watu wao wenye cheo wana njaa, na wengi wao waona kiu sana.
[14]Kwa hiyo kuzimu kumeongeza tamaa yake, kumefunua kinywa chake bila kiasi; na utukufu wao, na wingi wao, na ghasia yao, naye pia afurahiye miongoni mwao, hushuka na kuingia humo.

ASOMAYE NA AFAHAMU
 
Hao wanaojiita sijui nabii au mitume huku wakiweka kambi kwenye miji mikubwa, Wala huwezi kuwasikia wakihuburi habari za ufalme wa Mungu, wakiwaambia watu waache dhambi, waishi maisha matakatifu Ili wasije wakaangukia katika ziwa la moto, wao wamebaki kukomaa na injili za utajirisho ooh magari, ooh majumba, mafanikio huku waumini wakifanyika fursa hizo sadaka zimeitwa Kila majina, Ili kumnasa mtoaji ndio Maana wao utaona wananeemeka huku wanao wafanyia hiyo miujiza Hali zao zikibaki kuwa mbaya

Tumsikilize kidogo
 
Gwajima Pastor pamoja na Mzee wa upako wanamzungumziaje?
 
Back
Top Bottom