Kuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.
Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;
Kwenye miujiza kumekuwa na usanii mwingi, mara utasikia kafufua mtu dar, Moro , Mwanza, etc, wakati inakuwa ni usanii mtupu kama ule wa Gajwima kusema anafufua wafu.
Kiongozi wa dini akisema ana uwezo wa kufufua wafu, watu wandaamane naye mpaka mortuary iliyo karibu wakamkabidhi mwili ili aufufue, akishindwa wahakikishe wanamfungia huko mortuary. Hizi tabia za "kufufua "watu hai inabidi zikome.