Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Sawa mkuu jitahidi usije ukakamatika, naogopa hata sijui nikuite dada au kaka maana humu ni changanyike itoshe tu hiyo mkuu jitahidi usimamie msimamo wako usije kuwa trapped
Asante kwa ushaurs, aema siku hizi nina majukumu mengi sina hata muda wa kwenda kwenye hayo makanisa, nilikua nafanya hivyo enzi zile sina majukumu au wakati mwingine ndugu anaweza akakubana umsindikize ila siku hizi sijui kama hata huomuda nitaupata kwa kweli
 
Asante kwa ushaurs, aema siku hizi nina majukumu mengi sina hata muda wa kwenda kwenye hayo makanisa, nilikua nafanya hivyo enzi zile sina majukumu au wakati mwingine ndugu anaweza akakubana umsindikize ila siku hizi sijui kama hata huomuda nitaupata kwa kweli
Mungu akusaidie
 
Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje

Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Hata shetan anafany miujiza Hiko sio kipimo Cha uchaji moja ya vitu atavyotumia mpinga kristo ni miujiza
 
Huyu anayejiita Kuhani kuna mambo ya kujiuliza sana toka nilipomfahamu akiwa msaidizi wa Mulilege Mukombo au Mzee wa Yesu aliyekuwa na huduma pale Boko magengeni.

Ilikuwa ukifika kwa mzee wa yesu naye alikuwa na style ya Maombi,uponyaji na maombezi kama Mussa Mwacha , baba yake wa kiroho na ndio aliyempokea Kutoka Congo DRC na kumlea kiimani na hatimaye kumuozesha mwanae wa kike kama mtumishi wa kanisa lake akikuombea kwa mbwembwe nyingi za kufunga macho anakupatia mtumishi mussa uende naye kwako nyumbani au Ofisini akakufanyie maombi ni lazima atatoa vibuyu, hirizi na uchawi aina nyingine.

Style hii ya maombi ya kutoa uchawi wanayo wachungaji wengi wanaotokea Congo DRC hapa Tanzania yupo kijana mmoja mchungaji alikuwa pale Kunduchi baada tuu ya Shule ya Bahari ile njia ya kwenda Rungwe Oceanic naye ana upako aina hii lakini ni wa kisanii. Anakuwa anaficha hirizi halafu akija nyumbani mnaomba mmefumba macho anazitupia kwenye mito makochi hata vyungu vya maua.

Mussa amepitia na kukua toka kwa Mzee wa yesu ambaye haieleweki baadae walitofautiana sana mpaka ndoa yake na mtoto wa.mzee wa yesu ikafika mwisho.

Maoni yangu inawezekana ni mtumishi wa mungu lakini sababu ya kuwajua wacongo watumishi wengi wanaongeza nguvu za mitishamba na fahamu kwamba Congo kuna.msitu mkubwa.sana hivyo kuna.mitishamba ya hatari sana. Nguvu za miujiza, nguvu za kuvuta watu au wateja. Unaweza kumfatilia pia mchungaji tajiri Johanessburg Alpha Lukau ambaye kanisa lake lina Bank clerks ukitaka kutoa sadaka unaenda kwa bank clerks una chanja tuu.

Huduma yake ina angalia zaidi nani anatoa hela kiasi gani. Nadhani ukitaka kumuona sio chini ya laki 3 akisisitiza anajenga kanisa hivyo michango ni lazima. Huwa waumini wapo wanaosaidiwa na kinachowaponya ni imani yao na utayari kwa yesu na si nguvu ya mchungaji.
Huko kutupa mahirizi kwenye makochi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.
Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;
Kwenye miujiza kumekuwa na usanii mwingi, mara utasikia kafufua mtu dar, Moro , Mwanza, etc, wakati inakuwa ni usanii mtupu kama ule wa Gajwima kusema anafufua wafu.
Kiongozi wa dini akisema ana uwezo wa kufufua wafu, watu wandaamane naye mpaka mortuary iliyo karibu wakamkabidhi mwili ili aufufue, akishindwa wahakikishe wanamfungia huko mortuary. Hizi tabia za "kufufua "watu hai inabidi zikome.
Gwajima alishindwa kumfufua magufuli
 
Kama anafafanua kwa uzuri ni mtumishi mzuri

Kwani hiyo ibada ya jumanne na ijumaa inayisha usiku huwa inaanza asubuhi? Au ni baada ya muda wa kazi ndio watu wanaenda kanisani?
Kwa Dar es salaam mtu ukitoka job uende kimara kwa ibada lazima hiyo ibada iwe inaanza saa moja au mbili
ibada inaanza saa nane na sio wote ni wafanyakazi. mwingine anatoroka nyumbani chapu aende kanisani kwenye maombi, Mwingine anaishi mbali na mji usafiri usiku ni shida. Mbona mwamposa na wengine wanamaliza tu mapema watu wanawahi nyumbani. Ibada ya katikati ya wiki inatakiwa isiwe na mambo mengi lazima iwe specific labda ni maombi tu, sifa n.k anay way ni uamuzi wake na aliyemtuma siwapangii
 
Serikal mpaka ione kuna uvunjifu wa amani si Kila mtu amepewa uhuru wa kuabudu popote na kuabudu chochote, Mimi Huwa nawaangalia tu kwenye TV tu basi
Kumwambia mtu mchawi wake, au nani kamroga sio uvunjifu wa amani? Unajuwa huyo aliyeambiwa jirani yake kamtupia jini au ndo kamuulia mwanae akitoka hapo ataenda kumfanyaje? Na wengine wanaenda mbali zaidi wanataja mpaka majina ya wahusika (waliomtendea huo ubaya).
 
Kkkt panatosha ila sio mbaya ku explore what's happening out there, zikija thread kama hizi unakua na cha kuzungumza maana zingine huwa zinapotosha, au hata utakutana na waumini wengine na ukapata cha kuwashauri ili wasipoteee huko kwenye haya makanisa yanayoibuka maana siku hizi ni mengi na serikali wala haijali

Hahaha wote mnajiita wakristo halafu wengine mnajidai kristo ni wenu peke yenu. Sijui aliwadanganya nani🙄
Wa protestants kkkt wanajiona bora kuliko wakatoliki
Waanglican wanajiona bora kuliko wakatoliki
Wa sabato wanajiona bora kuliko wa anglican
Wa Moravian wanajiona bora kuliko wa sabato
Wa pentecoste wanajiona bora kuliko Moravian
Wa assemblies of God wanajiona bora kuliko wa Pentecoste

Yeye KRISTO mwenyewe anasemaje

Marko 9: 38-40
Yohana akamjibu Yesu, akamwambia, Mwalimu, tulimwona mtu akitoa pepo kwa jina lako, ambaye hafuatani nasi; tukamkataza, kwa sababu hafuatani nasi.
Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya mwujiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya;
kwa sababu asiye kinyume chetu, yu upande wetu.
 
ibada inaanza saa nane na sio wote ni wafanyakazi. mwingine anatoroka nyumbani chapu aende kanisani kwenye maombi, Mwingine anaishi mbali na mji usafiri usiku ni shida. Mbona mwamposa na wengine wanamaliza tu mapema watu wanawahi nyumbani. Ibada ya katikati ya wiki inatakiwa isiwe na mambo mengi lazima iwe specific labda ni maombi tu, sifa n.k anay way ni uamuzi wake na aliyemtuma siwapangii

Hayo unayopanga hapo ni mambo yako weee binafsi. Kwani kuna mtu wmelazimishwa kwenda huko ibadani? Au kwani kuna mtu anazuiwa kuondoka muda anaoutaka yeye?

Kila kiongozi wa imani ana utaratibu wake ya mwamposa ni ya mwamposa na ya musa ni ya musa

Wacha pilipili ya shamba iwawashe wenyewe wahusika
 
Miujiza kutendeka sio ishu maana hata shetani ni mtenda miujiza ,MUNGU ni roho kama alivyoshetani , nguvu ya Giza(shetani)na nguvu ya Nuru (MUNGU)

Nvyojua pale Kuna nguvu ya Giza na inatenda KAZI kwa matambiki ya kigiza bila watu kujua

USSR
Unatia hurums Shetani kakuteja haswa kwa jinsi unavyompa credit
 
Back
Top Bottom