Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh wachawi mnaumia sanaKuna hoja mbili ambazo kwenye mada kama hii zinapaswa kujibiwa.
Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;
Kwenye miujiza kumekuwa na usanii mwingi, mara utasikia kafufua mtu dar, Moro , Mwanza, etc, wakati inakuwa ni usanii mtupu kama ule wa Gajwima kusema anafufua wafu.
Kiongozi wa dini akisema ana uwezo wa kufufua wafu, watu wandaamane naye mpaka mortuary iliyo karibu wakamkabidhi mwili ili aufufue, akishindwa wahakikishe wanamfungia huko mortuary. Hizi tabia za "kufufua "watu hai inabidi zikome.
Kuhani wa mchongo tu.Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje
Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Mmh hebu tubuTapeli hilo
Vya mashetani na majiniKabla ya kuja kutawaliwa na wakoloni, tulikuwa tunatumia vitabu gani?
Ukiona sehemu wanahamasisha michango, juwa hapo kuna ujanja ujanja; wakitakiwa kunyang'anywa leseni wanakuwaga wapole sana. Sasa najiuliza, kwa nguvu walizonazo, inakuwaje wawe wadogo kama pilitoni kwa mamlaka?Sio wote wanaosoma huku kwetu wanakalia matofali
Tuheshimiane kidoooooooogo
Halafu eti Kuna watu walimtukana TB joshuaMimi na mama yangu tulikua na operation. Kuna mama mmoja alituomba sana sana sana tuende hapo wakati yuko mwenge. Yaan mpaka tukapata imani. Kufika watu ni wengi sijapata ona. Kanisa ni kubwa mnoo. Basi tukatulia. Inada ikaisha usiku ule. Tukaja ambiwa tukitaka tumuone kuhani kwa foleni ni elfu 50. Tukitaka express ni laki moja. Na kama nimechanganya digits basi ni 100k kwa 150 sikumbuki sana ila ni hizo digits. From then hatukuwahi jigusa. Why? Kwasababu kumbe tuliona tunalipia huduma ta kiroho. Sitaongea vibaya maana sijui ya kesho ila nilishaenda kanisa la apostle mutalemwa lile la makongo juu.. its abt money. Unasikia mpaka mwenye dollor 500 aje hapa apakwe mafuta na nabii. Na wanakimbilia wamama haswaa na wale viongozi hasahasa wa kanisani palepale. Yaan its all about money paale kwa mutalemwa. Wale wa 5k na 10k ni kama huwa hawana uzito aisee. Sijahadithiwa niliona. Kuna siku tuliambiwa tutoe hata nauli Mungu atatufikisha majumbani. Sitasahau. Nilivyokua mkosa akili usiku ule wa saa 6 nami nikatoa[emoji23][emoji23][emoji23] again kwa kuhani same thing... hapana. Mimi natulia na kanisano kwangu tu. Imani yangu itaniponya aisee. Dini nzuri ni ile kujali yatima na wajane na wahitajo wotee.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mimi na mama yangu tulikua na operation. Kuna mama mmoja alituomba sana sana sana tuende hapo wakati yuko mwenge. Yaan mpaka tukapata imani. Kufika watu ni wengi sijapata ona. Kanisa ni kubwa mnoo. Basi tukatulia. Inada ikaisha usiku ule. Tukaja ambiwa tukitaka tumuone kuhani kwa foleni ni elfu 50. Tukitaka express ni laki moja. Na kama nimechanganya digits basi ni 100k kwa 150 sikumbuki sana ila ni hizo digits. From then hatukuwahi jigusa. Why? Kwasababu kumbe tuliona tunalipia huduma ta kiroho. Sitaongea vibaya maana sijui ya kesho ila nilishaenda kanisa la apostle mutalemwa lile la makongo juu.. its abt money. Unasikia mpaka mwenye dollor 500 aje hapa apakwe mafuta na nabii. Na wanakimbilia wamama haswaa na wale viongozi hasahasa wa kanisani palepale. Yaan its all about money paale kwa mutalemwa. Wale wa 5k na 10k ni kama huwa hawana uzito aisee. Sijahadithiwa niliona. Kuna siku tuliambiwa tutoe hata nauli Mungu atatufikisha majumbani. Sitasahau. Nilivyokua mkosa akili usiku ule wa saa 6 nami nikatoa[emoji23][emoji23][emoji23] again kwa kuhani same thing... hapana. Mimi natulia na kanisano kwangu tu. Imani yangu itaniponya aisee. Dini nzuri ni ile kujali yatima na wajane na wahitajo wotee.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna jirani yangu mmoja, amemuacha mumewe na kwenda kuwa mpishi kwa mchungaji
ImagineHalafu eti Kuna watu walimtukana TB joshua
Mama, hiyo ni biashara kama biashara zingine. Nani alikuambia sisi ndo tulitaka enda mwona private? Hayo ni mambo ya waumini wake na hyakua matakwa yetu. Na issue hapa si pesa ila kwanini huduma ya kiroho aiuze? Mbona wewe hujahoji kwanini anauza huduma? Hakika wanawake ndo wahanga wakubwa sisi. Tunachotwaaa. Na akili tunashikiwa. Haya hongera mbeba maono. Msalimie kuhani....Kwanini uende kumwona private!? Kwani ibada haikuwatosha kupokea na kufunguliwa?
Popote unapoabudu kitu cha kwanza ni imani. Kama huyohuyo mtumishi ndio anakuongoza ibada yote halafu imani yako unataka umuone ndio upone huna tofauti na Naamani
2Wafalme 5:9 -12
Basi Naamani akaja na farasi wake na magari yake, akasimama mlangoni pa nyumba ya Elisha.
Naye Elisha akampelekea mjumbe, akisema, Enenda ukaoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itakurudia, nawe utakuwa safi.
Lakini Naamani akakasirika, akaondoka, akasema, Tazama, nalidhania, Bila shaka atatoka kwangu, na kusimama, na kuomba kwa jina la Bwana, Mungu wake, na kupitisha mkono wake mahali penye ugonjwa, na kuniponya mimi mwenye ukoma.
Je! Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora kuliko maji yote ya Israeli? Je! Siwezi kujiosha ndani yake, na kuwa safi? Akageuka, akaondoka kwa hasira.
Kawaida sana hao. Hata hao manabii. Mwamposa mwenyewe si kazaa na yule shankupe? Na alitaka aitoe mimba shangingi akaona weee ysinitanie wakati nimetega kitega uchumi hapa.Kuna jirani yangu mmoja, amemuacha mumewe na kwenda kuwa mpishi kwa mchungaji
Kwa waganga mbona mnatoa hadi mbuzi na kondoo?Mimi na mama yangu tulikua na operation. Kuna mama mmoja alituomba sana sana sana tuende hapo wakati yuko mwenge. Yaan mpaka tukapata imani. Kufika watu ni wengi sijapata ona. Kanisa ni kubwa mnoo. Basi tukatulia. Inada ikaisha usiku ule. Tukaja ambiwa tukitaka tumuone kuhani kwa foleni ni elfu 50. Tukitaka express ni laki moja. Na kama nimechanganya digits basi ni 100k kwa 150 sikumbuki sana ila ni hizo digits. From then hatukuwahi jigusa. Why? Kwasababu kumbe tuliona tunalipia huduma ta kiroho. Sitaongea vibaya maana sijui ya kesho ila nilishaenda kanisa la apostle mutalemwa lile la makongo juu.. its abt money. Unasikia mpaka mwenye dollor 500 aje hapa apakwe mafuta na nabii. Na wanakimbilia wamama haswaa na wale viongozi hasahasa wa kanisani palepale. Yaan its all about money paale kwa mutalemwa. Wale wa 5k na 10k ni kama huwa hawana uzito aisee. Sijahadithiwa niliona. Kuna siku tuliambiwa tutoe hata nauli Mungu atatufikisha majumbani. Sitasahau. Nilivyokua mkosa akili usiku ule wa saa 6 nami nikatoa[emoji23][emoji23][emoji23] again kwa kuhani same thing... hapana. Mimi natulia na kanisano kwangu tu. Imani yangu itaniponya aisee. Dini nzuri ni ile kujali yatima na wajane na wahitajo wotee.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu hakuna michango? Maisha yenyewe ni michango Umeme maji majengoUkiona sehemu wanahamasisha michango, juwa hapo kuna ujanja ujanja; wakitakiwa kunyang'anywa leseni wanakuwaga wapole sana. Sasa najiuliza, kwa nguvu walizonazo, inakuwaje wawe wadogo kama pilitoni kwa mamlaka?