Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Pumbav, nilifikiri najadiliana na mtu mwenye akili walau za kuvukia barabara. Nonsense

Lipumbavu ni wewe unayedhani shetani wako ana nguvu kuliko Mungu 😂😂😂😂
 
Hospitali zina mambo mengi muhimu ya kufanya kuliko kupoteza muda na hayo mauzauza yenu.
Mjinga zaidi yako ni nani hapa. Ungeenda hospitali kuwauliza ukarudi na majibu ningekuheshimu walau kidogo. Ila kwa jibu la blahblah nimekudharau

View attachment 2147009


Maana Benjamin Mkapa hospital walishindwa wakamtuma mgonjwa Muhimbili. Muhimbili wakaamua wamng'oe jicho, Kuhani Musa akaomba, Mgonjwa akapona
 
Hospitali zina mambo mengi muhimu ya kufanya kuliko kupoteza muda na hayo mauzauza yenu.

Lete uthibitisho wa hicho unachokiita mauzauza, vinginevyo unaonekana wewe ndio mauzauza mwenyewe😂😂
 
Ndio nimeweka hapo washudiaji na uwenyeji wao na makazi yao ili tujue hayo maigizo yanafanyikaje

Bila proof ya unachokisema itazidi kuaminika na kubaki palepale kwamba miujiza inatendeka
Sio kila miujiza ni ya kuhusishwa na Mungu!
 
Sio kila miujiza ni ya kuhusishwa na Mungu!

Hilo liko wazi

Ila wewe unatueleza nini kuhusu hii miujiza inayofanyika na Kuhani Musa Richard Mwacha kwa jina la Yesu Kristo aliye hai?



Kama hivi huyu hapa

Au tukawaulize muhimbili na Benjamin Mkapa hospital 😎
 
Hilo liko wazi

Ila wewe unatueleza nini kuhusu hii miujiza inayofanyika na Kuhani Musa Richard Mwacha kwa jina la Yesu Kristo aliye hai?

View attachment 2170977

Kama hivi huyu hapa

Au tukawaulize muhimbili na Benjamin Mkapa hospital 😎
Hakuna jipya! Hiyo ni ile miujiza ambayo huyo Musa alifundishwa na 'baba yake' Mkombo aliyekuwa akidai kuwa alimwokota jalaalni huko Arusha. Ni ile miujiza inayotengenezwa kisangoma, isiyo kuwa na uhusiano wowote na jina la Mungu. Mtu yeyote aliyeshiba neno la Mungu hawezi kuona injili Kimara Temboni! Huko ni kwa ajili ya watu wanaotafuta uponyaji wa hapo kwa hapo unaopatikana kwa masangoma! Huyo Musa anajulikana tangu akiwa Boko Magengi alipokuwa akitumwa na 'baba yake' Mkombo kwenda kuchimba au kuibua hirizi na madude ya ajabu kwenye majumba ya watu wakiwadanganya kuwa wamerogwa na kutupiwa vitu vya kichawi ili waweze kuwakamua vizuri!
 
Hakuna jipya! Hiyo ni ile miujiza ambayo huyo Musa alifundishwa na 'baba yake' Mkombo aliyekuwa akidai kuwa alimwokota jalaalni huko Arusha. Ni ile miujiza inayotengenezwa kisangoma, isiyo kuwa na uhusiano wowote na jina la Mungu. Mtu yeyote aliyeshiba neno la Mungu hawezi kuona injili Kimara Temboni! Huko ni kwa ajili ya watu wanaotafuta uponyaji wa hapo kwa hapo unaopatikana kwa masangoma! Huyo Musa anajulikana tangu akiwa Boko Magengi alipokuwa akitumwa na 'baba yake' Mkombo kwenda kuchimba au kuibua hirizi na madude ya ajabu kwenye majumba ya watu wakiwadanganya kuwa wamerogwa na kutupiwa vitu vya kichawi ili waweze kuwakamua vizuri!


Kama ni miujiza ya kisangoma, fanya basi uikomeshe ili uwasaidiea wengine
Kama unaongea tuu bila kuthibitisha huo usangoma unaoneka mtu mmbea na mwenye chuki
Na kama unaona kuna udanganyifu na huwezi kutoa msaada ili kuzuia huo udanganyifu unaonekana kuongozwa na roho chafu za machafuko na wewe ni mfitini tena mwenye wivu
 
Wewe humpati mtu,tumekustukia unampigia promo basha wako awafanyie watu utapeli wenu

Niite nije nikufanyie promo na wewe ufaidike stress zako na hasira zikuishe😅😅😅
 
Kama ni miujiza ya kisangoma, fanya basi uikomeshe ili uwasaidiea wengine
Kama unaongea tuu bila kuthibitisha huo usangoma unaoneka mtu mmbea na mwenye chuki
Na kama unaona kuna udanganyifu na huwezi kutoa msaada ili kuzuia huo udanganyifu unaonekana kuongozwa na roho chafu za machafuko na wewe ni mfitini tena mwenye wivu
Kuzuia huo udanganyifu ni pamoja na kukuambia ukweli wewe uliyertumwa na ibilisi kupigia debe mafundisho ya kuuawa watu kiroho. Injili ya Yesu iko wazi kwenye maandiko matakatifu. Hiyo injili yenu unayoieneza hapa wala sio injili ya ufalme, ni ile injili nyingine ya kupeleka watu upotevuni! Msaada hauwezi kutolewa kupitia injili isiyo yenyewe. Mnapoteza watu kama waganga wa kienyeji wanavyopoteza watu!
 
Kwasababu umeshindwa kunithibitishia kwamba ni hadithi za ibuniwasi
Uthibitisho kwamba nyie ni matapeli uko kwenye maandiko matakatifu. Yote mnayoyaeneza huko yako nje ya maandiko. Hayo mashuhuda mnayowadanya watu hata kwa waganga wa kienyeji yanapatikana!
 
Mambo ya kimiyeyusho ndiyo yamejaa kwenye huu uzi
 
Kuhani Musa anatabiri nini kuhusu Katiba Mpya, Tume huru na uchaguzi wa 2025?
Niite nije nikufanyie promo na wewe ufaidike stress zako na hasira zikuishe[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom