Kuhusu DP World: Rais Samia acha kushupaza shingo, epusha Taifa na machafuko

Nani kakwambia mama yahe,awe na uchungu na mtoto wa kamwene unogile,pambana na haki yako,sisi bdo sisi nyie mafisi na tunauza kariakoo hiyo,subr uone
 
Juzi John Heche amenyimwa airtime Star TV walipogundua kuwa anaenda kuongelea swala la DP world.
 
Wote hao ni takataka bado wanaishi na machungu wengine kupigwa chini wengine kupigwa makofi. Rais au serikali haiwezi kurudi nyuma kwa sababu ya maneno hata siku moja itawapotezea credibility. Serikali ipo kwa kuchaguliwa inafanya kazi iliyopewa kisheria. Mtu anashida asubiri 2025 apige kampeni.
 
Ndugu haya mambo yanatia hasira sana, CCM chini ya Samia wanatukosea sana watanzania kuhusu mkataba wa bandari
Sema wanawakosea Chadema usiseme wa Tanzania, kwani unamuwakilisha nani? ulichaguliwa wapi.
 
Tena aanzishe haraka, wananchi huku uraiani tunamsubiri tumuonyeshe ni namna gani tupo pamoja na mama yetu; Jemedari Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania!
Wama jeuri hao, maneno tu mwenyekiti wao alikuwa anaozea jela hata watu 10 hawakutoka mtaani.
 
Kabisa!
Isitoshe, kutuambia huyo jamaa sijui kasoma havard marekani ndo nini?!!! Tuogope?!!!
ujumbe umeshamfikia huyo bibi yenu mwenye akili kisoda, akipuuza tutakula kichwa
 
watu wenye akili ndogo kama wewe ni wachache sana nchini, tulia utaona wenye akili watachofanya
 
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE, ACHENI KUMTISHIA RAIS WETU, NA HAKUNA WA KUTHUBUTU KUFANYA FUJO / MACHAFUKO WALA CHOCHOTE, RAIS WETU SONGA MBELE!
endeleeni kujitekenya, tunajua hizo propaganda mnazofanya
 
Wewe mwenyewe uache jeuri ! Unamtishia Rais ?

Kama vipi anzisha tu hayo machafuko tuone
bado sijamtisha, kitisho cha ukweli kinakuja.
jambo la bandari lisipobadilishwa haliwezi kupita hivi hivi
 
sijajua bado kuna watu aina tanzania.
wewe chawa nakuonea huruma na kizazi chako
 
Your browser is not able to display this video.
 
Tena aanzishe haraka, wananchi huku uraiani tunamsubiri tumuonyeshe ni namna gani tupo pamoja na mama yetu; Jemedari Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania!
the mother of modern evil colonisation.
stupid mother indeed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…