Kuhusu DP World: Rais Samia acha kushupaza shingo, epusha Taifa na machafuko

Kuhusu DP World: Rais Samia acha kushupaza shingo, epusha Taifa na machafuko

1. Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba.
2. Waziri mstaafu Professor Ana Tibaijuka
3. Mzee Butiku
4. Nguli wa sheria Professor Issa Shivji
5. Raisi mstaafu wa TLS Dr Nshana ambaye ni msomi mkubwa katika sheria kutoka chuo kikuu cha Havard kilichopo nchini Marekani.
6. Makamu Mwenyekiti wa Chadema na Mwanasheria ndugu Tundu Lisu
7. Kardinali wa Kanisa Katoliki Pengo.
8. Askofu Mwamakula
9. Mawakili na wanasheria tofauti wakiongozwa na ndugu Bonifasi Mwambukusi ambae hadi amefungua kesi Mahakama kuu kanda ya mkoa wa Mbeya.
10. Na wananchi kutoka mikoa yote ndani ya jamhuri ya Muungano wa Tanzaania
11. Mwenyekiti wa CUF Professor Lipumba
Hao uliowataja wote wana agenda zao binafsi nje ya kupinga DP World na pia ndani kabisa ya nafsi zao ni wapinzani serikali CCM kwa 100%. Hao wanaongoza kwa mipasho against CCM govt hata kwenye mambo mema. Umemsahau Mbowe au umefanya makusudi kwa sababu ya hoja yake mbovu ya utanganyika na uzanzibari? Ninamshauri Mama Samia aendelee kuwapuuza. Hakuna machafuko yanayoweza kutokea kwa Rais kufanya jambo lenye manufaa kwa taifa.
 
Kuhusu hili jambo la mkataba wa umiliki wa bandari zote kati ya serikali ya Tanzania na kampuni DP World tumeona maoni mbalimbali kuhusu vipengele vya huo mkataba.

Mkataba huo umekosolewa kwamba haufai na watu kutoka kada tofauti kuanzia viongozi wa dini, siasa, wanasheria , taasisi za elimu, wasomi n.k

Miongoni mwa watu waliokosoa mkataba huo ni pamoja na

1. Waziri mkuu mstaafu Jaji Warioba.
2. Waziri mstaafu Professor Ana Tibaijuka
3. Mzee Butiku
4. Nguli wa sheria Professor Issa Shivji
5. Raisi mstaafu wa TLS Dr Nshana ambaye ni msomi mkubwa katika sheria kutoka chuo kikuu cha Havard kilichopo nchini Marekani.
6. Makamu Mwenyekiti wa Chadema na Mwanasheria ndugu Tundu Lisu
7. Kardinali wa Kanisa Katoliki Pengo.
8. Askofu Mwamakula
9. Mawakili na wanasheria tofauti wakiongozwa na ndugu Bonifasi Mwambukusi ambae hadi amefungua kesi Mahakama kuu kanda ya mkoa wa Mbeya.
10. Na wananchi kutoka mikoa yote ndani ya jamhuri ya Muungano wa Tanzaania
11. Mwenyekiti wa CUF Professor Lipumba
12. N.k

Serikali ya Samia imeshindwa kutoa majibu ya mapungufu ya vipengele vya huo mkataba baada yake imeanza propaganda kwa kuongopa na kualika watu mbalimbali ili wapotoshe ukweli wa mapungufu ya huo mkataba wa hovyo.

Leo tumesikia wanasheria huru wakilalamika kutishiwa maisha, miongoni mwa wanasheria hao ni raisi mstaafu TLS ndugu Dr Nshana na ndugu Bonifasi Mwabukusi kutoka Mbeya. kuhusu hili jambo endapo mtu yeyote akipata tatizo kutokana na kutetea bandari hakuna mtu atabaki salama ikiwemo ninyi familia na ndugu zenu.

Wito wangu kwa Rais Samia acha jeuri kuhusu maoni ya watanzania kuhusu ubovu wa huo mkataba, wananchi ndio wenye nchi hivyo kama hawaitaji huo mkataba usijitoe ufaham kwa kuwapuuzia.

Nchi yetu ni ya amani, hivyo hatutaki uvunjifu wa amani kwa sababu za maslahi yako binafsi Samia.

Kama wananchi hatutaki kufikia hatua ya maandamano na uvunjifu ila itakapobidi hatutakua na namna zaidi ya maandamano yasiyo na mwisho.

Bandari ni zawadi yetu kutoka kwa Mwenyezi Mungu lazima tutailinda kwa namna zote iwe heri au shari
hili suala la dp world litawasumbua sana.
 
Hao uliowataja wote wana agenda zao binafsi nje ya kupinga DP World na pia ndani kabisa ya nafsi zao ni wapinzani serikali CCM kwa 100%. Hao wanaongoza kwa mipasho against CCM govt hata kwenye mambo mema. Umemsahau Mbowe au umefanya makusudi kwa sababu ya hoja yake mbovu ya utanganyika na uzanzibari? Ninamshauri Mama Samia aendelee kuwapuuza. Hakuna machafuko yanayoweza kutokea kwa Rais kufanya jambo lenye manufaa kwa taifa.
wewe ni wa hovyo sana, kizazi chako kina laana maana haujui ulipotoka na unapokwenda
 
Nimesema hivi, tutoree uvundo hapa nenda kachochee maharage jikoni
laana ya kizazi chako inakusumbua,
haujui ulipotoka na haujui unapokwenda ndio maana haujui umuhimu wa bandari
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kwny hili suala.., machafuko hayo yatoke wapi? Labda tumboni!
Subiri siku utakapokurupushwa na Kutoka nje Ukiwa umevalia suit ya Kuzaliwa nayo.

Siku Ile walinzi watapoacha LINDO na kuasi amri Yako,

Siku Ile mama atapomchukua paka akiamini amebeba kichanga.

Ukishauriwa, ukakaza shingo, shingo huvunjika.

Tusubiri.
 
Juzi John Heche amenyimwa airtime Star TV walipogundua kuwa anaenda kuongelea swala la DP world.
wanajaribu kuzima mijadala ya huo uozo, ila watanzania wengi sasa wanauelewa hivyo kilichobaki ni kutengua huo mkataba hovyo wa bandari, hakuna namna nyingine
 
Dada ungemeza P2 ungeepusha hizi hasira zako za mimba changa
laana inakusumbua wewe, utakua chawa milele na hiyo laana itakusumbua wewe na vizazi vyako vyote vitavyokuja.
hauwezi kuleta masihara kwenye jambo muhim kama bandari
 
Subiri siku utakapokurupushwa na Kutoka nje Ukiwa umevalia suit ya Kuzaliwa nayo.

Siku Ile walinzi watapoacha LINDO na kuasi amri Yako,

Siku Ile mama atapomchukua paka akiamini amebeba kichanga.

Ukishauriwa, ukakaza shingo, shingo huvunjika.

Tusubiri.
Acheni ujinga.
 
Tunasubiri kwa hamu muanzishe fujo!
sawa, jipangeni vizuri safari hii hatuingii mtaani ila tunaingia ndani ya nyumba zenu na ndugu zenu.
ndugu zenu na familia zenu ndio watawaambia muufute huo mkataba
 
Machafuko hali tena? Umeona waSudani ee?
 
Back
Top Bottom