Kuhusu DP World: Rais Samia acha kushupaza shingo, epusha Taifa na machafuko

Kuuza Mali za urithi bila ridhaa ya mwenye Mali Si kuvuruga Amani huko?

Kuweka hatarini USALAMA wa Nchi Kwa kumilikisha Taifa jingine Bandari zetu, lango la Nchi Si kuvuruga Amani huko?
MKIANZISHA VURUGU NISHTUE MKUU
 
....CHAWA Utawajua TU Kwa Kauli zao!.... [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kaanzisha songombingo nyingine ya Mwekezaji awe pia na haki ya kumiliki ardhi...Huyu bi Mkubwa haya mambo mbona Zanzibar hayapeleki?
...Kuna Nchi zimeikingia Vita ya Wenyewe Kwa Wenyewe Kwa Upuuzi kama huu !! [emoji35][emoji35][emoji35]
 
Nawe ni mtz ...?...huu mkataba siyo poa kabisa... Mungu atatulipia...muda utaongea...
 
laana ya kizazi chako inakusumbua,
haujui ulipotoka na haujui unapokwenda ndio maana haujui umuhimu wa bandari
Najua sana, na sina laana bali baraka tele. Najisikia nimebarikiwa zaidi kwa kuwa mtanzania na kupata raisi mwenye maono ya kisasa kama jemedari hodari Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania
 
TLS umewasahau

Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Katika nakala yako unatumia lugha ya matusi kwa raisi wa nchi. Hebu kuwa muungwana. Zungumzia point za hisia yako. Sasa hivi, kwa lugha yenu ya matusi, taifa mume ligawa. Mumekosa utaratibu na uwa kujadili mada muhimu kama hii. Hata sisi amba hatubna CCM, ilipotajwa uzanzibari, mumezileta juu hisia zetu na kwa sasa hivi, waznzibari tulio wengi, tunasema muungano BASI.
 
hauna akili wewe, hiyo lugha niliyotumia ni ya kiungwana sana na haiendani na makosa makubwa aliyofanya huyo bibi ushungi wako.
ningetumia lugha kali ungejinyonga wewe malaya wa kisiasa.
 
Ni jambo la mda tu, hili jambo la mkataba wa bandari haliwezi kupita hivi hivi.
Samia asipotengua huo mkataba lazima alipie gharama
Key board worrier una mambo.
Hebu jitokeze kwa utambulisho wako halisi kama walivyojitokeza hao uliowataja.
 
Key board worrier una mambo.
Hebu jitokeze kwa utambulisho wako halisi kama walivyojitokeza hao uliowataja.
una laana wewe pamoja na kizazi chako, ndio maana haujui ulipotoka na unakokwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…