Tumsaidie Mama kuhakikisha katiba inaheshimiwa.

Mengine haya mbona ya kawaida? Tulitegemea atwambie kesho mambo ya katiba, ni rasmi?
 
Tumsaidie Mama kuhakikisha katiba inaheshimiwa.

Mengine haya mbona ya kawaida? Tulitegemea atwambie kesho mambo ya katiba, rasmi?
Hii katiba ya kidikteta anayotawala kwayo, akiamua kukunjua makucha tu tunaumia vibaya mno na huwezi kumshitaki popote maana katiba inamlinda!

Somo tulilopata kwa JPM tunapaswa kulizingatia sana, huu urais hauna guarantee, leo yupo kesho anaweza asiwepo. Kwa hiyo vitu vya msingi kama katiba mpya na nzuri huwezi kuviweka kiporo!
 
Mkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.

Mkuu tulitegemea mama anatupa ratiba ya mikutano ya siasa na katiba mpya?

Haya ni ya kupigania:

 
Mimi nilisema Mkuu Maza sina imani naye sasa maneno yangu yametimia Mkuu.
 
 

Hilo linajulikana na hapa ndipo tunapokuwa wazi:


Mama kazungukwa na wahafidhina.

Tumsaidie kuiheshimu katiba.
 
@BAK uko vizuri [emoji851][emoji851][emoji851]
 
Tumsaidie Mama kuhakikisha katiba inaheshimiwa.

Mengine haya mbona ya kawaida? Tulitegemea atwambie kesho mambo ya katiba, ni rasmi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Yani wewe ndio sijuagi unasimamia nini!
 
Mimi nilisema Mkuu Maza sina imani naye sasa maneno yangu yametimia Mkuu.

Nakuelewa mkuu. Ila lazima kujua what to expect with and without a minimum force.

Au siyo?
 
Reactions: BAK

Kuiheshimu katiba iliyowekwa kwa mujibu wa sheria ni kiapo chake, hilo halina mjadala, wala hahitaji kuomba ushauri kwetu

Ila tunachomwambia ni kuwa kuna sheria ya mabadiliko ya katiba, inabidi aitekeleze hiyo wananchi tupate katiba mpya, hilo nalo siyo hiari yake
 
Kwamba ukiwa na katiba mpya kila kitu kitakuwa kimenyooka ni kujidanganya.

Kwamba upigaji utaisha kabisa tukiwa na katiba mpya ni kujidanganya.

CCM imejichimbia sana ni vigumu kukubaliana na mabadilko makubwa ya kisiasa yatakayoipunguzia uhalali wa kuongoza nchi.

Lakini utafutaji wa katiba ni mchakato wa wapambanaji kutochoka kuuamini.
 

Nani amekwambia tunatafuta perfection ya 100%?
Tunachosema ni kuwa katiba ya siasa siyo muafaka wa kitaifa wa nmna tunavyotaka nchi yetu iongozwe.
The only reason CCM na Rais hawataki katiba mpya ni kwa sababu wanaitumia katiba hii kupora chaguzi za wananchi, kutapanya resources za Taifa kupitia mikataba ya kifisadi bila consequences.
Hakuna reason ya msingi ya wao kukataa katiba mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…