Acha mmalizane niny kwa ninyi, maana sis raia tusokuwa na chama, kaz yetu sasa hiv nikushuhudia tu mechi yenu mnaimaliza vip, na sie marefa hatutoamulia mpka mmalizane kabsa, mtuachie nchi yetu,,siasa ni upuuzi, siasa ni uhuni, siasa ni maigizo na ujambaz,,wananch tumenyonywa vyakutosha asee[emoji41][emoji41][emoji41]it's enough, bt kwa hil samia huu ndy mwanzo kwake, maana walmsifu kaanz vzr kumbe akajisahau haya mapambio aliopigiwa hata magu nae alipigiwa alivyoanza awamu yake kwa kutumbua na ziara za kustukiza bt after short time watu wakimbaridikia na kumuita majina ya kila namna, katili, dictator sjui mala meko haha sasa kwa huyu Mzenjibar hata asipaniki maana moto kauwasha na hakika utamuwakia,,,chamsingi afunge masikio na macho asione mambo watakayomtendea wana jamuhuri na wanaharakat wazee wa tume&katiba.....r.i.p ccm......Mungu tubariki watz Mungu ibariki jf