Kuhusu Katiba Mpya: Hoja ya Rais Samia haina mashiko
Nadhani hoja hapa ni kujipanga huwezi kuchukua nchi kwa Siku mia alafu ukaweka JAMBO la Katiba Ambalo linahitaji MJADALA mkubwa unao hitaji muda mkubwa na kuzuia mambo kadha wa kadha kusimama.
Wananchi wote tuna mitizamo tofauti ambayo inahitaji maridhiano siyo jambo la kukurupuka.
 
Naungana na upinzani, kudai katiba mpya, katiba iliyopo haitoshi.

Eti li Antony Diallo linalalamika kulipa kodi kisa lilirusha matangazo live kipindi cha kampeni 2015.

Katiba ya sasa inafaidisha CCM na sio watanzania.

Tunataka katiba mpya!

Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!
 
Naungana na upinzani, kudai katiba mpya, katiba iliyopo haitoshi.

Eti li Antony Diallo linalalamika kulipa kodi kisa lilirusha matangazo live kipindi cha kampeni 2015.

Katiba ya sasa inafaidisha CCM na sio watanzania.

Tunataka katiba mpya!

Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!


Tunataka katiba mpya!
Kodi tutalipa na katiba mpya tunataka pia.
 
Haiwezekani viongozi na wanachama wa CCM wanazunguka nchi nzima wanafanya mikutano ya ndani na nje lakini Wapinzani wakitaka kufanya wanaambiwa kuna Corona mikusanyiko hairuhusiwi, mambo ya ajabu kabisa yasiyokuwa na hofu ya Mungu. Double standards hizi ni dhambi kubwa sana kwa utawala huu.

Imeandikwa wapi kuwa baada ya uchumi kujengwa ndio madai ya katiba yafuate? Kujadili katiba ni kosa gani kisheria? Tunaendelea kupandikiza chuki ya hali ya juu ndani ya utawala huu na kamwe kufanikiwa kiuchumi. Uchumi usiokuwa na uhuru wala haki siyo uchumi na wala hauwezi kuimarika.

Tulianza vizuri na utawala huu lakini baadaye mambo yakaharibika taratibu, tunahitaji commitments za mama alizozitoa wakati anaapa kua mkuu wa nchi. Tunafutana machozi katika hali hii? Mama ameshauriwa vibaya kwa haya yanayoendelea? Au ni utashi wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Robert Gabriel?
 
Haiwezekani viongozi na wanachama wa ccm wanazunguka nchi nzima wanafanya mikutano ya ndani na nje lakini Wapinzani wakitaka kufanya wanaambiwa kuna Corona mikusanyiko hairuhusiwi, mambo ya ajabu kabisa yasiyokuwa na hofu ya Mungu. Double standards hizi ni dhambi kubwa sana kwa utawala huu.

Imeandikwa wapi kua baada ya uchumi kujengwa ndio madai ya katiba yafuate? Kujadili katiba ni kosa gani kisheria? Tunaendelea kupandikiza chuki ya hali ya juu ndani ya utawala huu na kamwe kufanikiwa kiuchumi. Uchumi usiokuwa na uhuru wala haki siyo uchumi na wala hauwezi kuimarika.

Tulianza vizuri na utawala huu lakini baadaye mambo yakaharibika taratibu, tunahitaji commitments za mama alizozitoa wakati anaapa kua mkuu wa nchi. Tunafutana machozi katika hali hii? Mama ameshauriwa vibaya kwa haya yanayoendelea? Au ni utashi wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Robert Gabriel?
Amechafuka mapema sn tulikosea kumsifia mapema
 
Mama piga spana mnalilia nini si mlisema mtatumia wembe ule ule.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
sema mama watu wanataka kumtoa kwenye mstari aliokuwa ameanza nao
 
sema mama watu wanataka kumtoa kwenye mstari aliokuwa ameanza nao
Hawana nia njema na nchi, wanataka hayo makongamano na mikutano ya hadhara ili wapitishe mabakuli kama kawaida yao
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mabavicha yaliwahi kumpenda nani huko ccm? Tuanzie hapo kwanza
 
Haiwezekani viongozi na wanachama wa ccm wanazunguka nchi nzima wanafanya mikutano ya ndani na nje lakini Wapinzani wakitaka kufanya wanaambiwa kuna Corona mikusanyiko hairuhusiwi, mambo ya ajabu kabisa yasiyokuwa na hofu ya Mungu. Double standards hizi ni dhambi kubwa sana kwa utawala huu.

Imeandikwa wapi kua baada ya uchumi kujengwa ndio madai ya katiba yafuate? Kujadili katiba ni kosa gani kisheria? Tunaendelea kupandikiza chuki ya hali ya juu ndani ya utawala huu na kamwe kufanikiwa kiuchumi. Uchumi usiokuwa na uhuru wala haki siyo uchumi na wala hauwezi kuimarika.

Tulianza vizuri na utawala huu lakini baadaye mambo yakaharibika taratibu, tunahitaji commitments za mama alizozitoa wakati anaapa kua mkuu wa nchi. Tunafutana machozi katika hali hii? Mama ameshauriwa vibaya kwa haya yanayoendelea? Au ni utashi wa mkuu wa Mkoa wa Mwanza Robert Gabriel?
Hakuna kitu kama chuki dhidi ya Rais SSH eti kwa kuwa Mbowe kakamatwa. Kama ujinga wanaofanya CHADEMA ungeachwa uendelee ningesema Taasisi ya Rais ni dhaifu. Mama ana siku takriban 120 tangu amehukua uongizi wa nchi.

Nchi imepita kwenye kipindi kigumu sana cha miaka 5 chini ya Mwendazake. Ila tumeyaona ambayo Rais SSH ametenda wala sina haja ya kuyaorodhesha hapa. Lakini Mbowe na Lissu wa CHADEMA wanataka vipaumbele vyao ndivyo mama afuate na siyo vipaumbele vya Serikali yake ya CCM.
Rais kasema Katiba isubiri nipange uchumi kwanza, CHADEMA hawwtaki. Pumbavu zao!!

Sasa akiwasikiliza wao ni nani atakuwa ndiye Rais wa Tanzania?

Hawa CHADEMA mtangulizi wa SSH alikuwa amewaacha wanahangaika na makesi Mahakamani, huyu amesema haki itendeke. Na kweli tunaona akina Mdude wanatoka na na RUFAA ya akina Mbowe inakubalika. Yote haya hamridhiki??

Mbowe anaweza akawa anawatumia wanachama wake ili arudishe nguvu zake kiuchumi kwa kumuonyesha Rais SSH kuwa Chama chake ndiyo kina nguvu sana za upinzani, hivyo Rais awe anamuogopa. Kumbuka alipoteza Bilicanas na Shamba la maua. Vijana wa CHADEMA tafuteni fedha kwenye ujasiriamali achaneni na Mbowe
 
Back
Top Bottom