Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #261
Jaji Werema anasema tusibeze mjadala wa katiba, anasema katiba mpya iliyo bora ni muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 4 ndio ' executive summary' ya andiko lako. Katiba mbovu ilitumiwa na Magufuli kuvuruga uchumi.Rais Samia anasema eti suala la kipaumbele kwake ni uchumi kwanza halafu mambo ya katiba mpya ni ya baadae huko mbeleni.
Ningependa kumkumbusha Rais Samia kuwa, hoja ya Katiba Mpya ni hoja nyeti, ni suala muhimu sana na haliwezi kuwa option ya pili katika mambo yanayopaswa kufanyika nchini kwa sasa. Na hii ni kwa sababu zifuatazo...
Ya Kujenga Matundu ya Vyoo Kuna Viongozi Wa Hovyo Miaka 60 mnahangaika na Matundu ya Vyootutasubiri hadi mwaka 2040, tuombe uhai.
kwa sasa kazi inaendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu[emoji23][emoji23][emoji23]Katiba ya nchi gani na muungano ni Batili? Hata yeye kuwepo hapo hastahiki kwani hakuna Muungano. Ni kiini macho cha Laanatullahi Nyerere.
La muhimu ni warudishe nchi ya Zanzibar kule UN baadaye ikatafutwe ile nchi iliyokuwa ikiitwa Tanganyika ndio baada ya kuulizwa wananchi kama wanataka kuungana au la ndio waje na mashauri ya kuandika hiyo katiba.
Vinginevyo ni kuzidi kunya juu ya vinyesi.
Duu[emoji23][emoji23][emoji23]
Utasubiri sana chini ya CCM, labda umfuate mwendazakewananchi hatuhitaji katiba kwa sasa, tunahitaji maendeleo.
wanasiasa wanataka katiba kwa lengo la kugawana vyeo/madaraka.
hatutaki labda hadi mwaka 2040.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama ni yeye, wale wahafidhina wa ccm waliozuia mara ya kwanza ndio hao hao wana remote hata sasaMkuu kuna dikteta mwingine Ikulu anayedhani ana haki ya kutuamulia Watanzania vile atakavyo yeye kinyume na Katiba ya Nchi.
vipi mwamba kwani unaogopa mwaka 2040 hutokuwepo?Utasubiri sana chini ya CCM, labda umfuate mwendazake
Kenya imepiga hatua kubwa kiuchumi.Ilishindwa sio kwa sababu ya kukosa Katiba mpya,South na Kenya kuna Katiba mpya kwani kuna jipya gani?
Kwani tume ya jaji Warioba ilipokusanya maoni wewe ulikuwa ughaibuni? Au umejikuta Jf kwa bahati mbaya!Mumewauliza wananchi kama wanataka Katiba mpya au wanataka uchumi? Wananchi wengi, tunataka uchumi, tupate mkate wetu wa leo na kesho, mambo ya Katiba ni yenu nyinyi wanasiasa, sisi wananchi bora mkono uwende kinywani. Hebu anzeni nyinyi wanasiasa muwaulize wananchi, hata kwa kupiga kura, kwenye maeneo yenu.