Kuhusu Katiba Mpya: Hoja ya Rais Samia haina mashiko
Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
 
8F2F9477-64B7-4AF6-9640-3F6EEA0D17D6.jpeg
134B83F8-AE5B-43FE-9038-CC2815C837CC.jpeg
 
😂😂😂😂😂 Chadema bhana kama watoto wa mwisho uchagani yani kudeka na kulialia tuu msiba umeisha ndo mtajua kuwa pale juu mtu akipazoea ni tofauti sana endeleeni na mapambio tu 😂😂
 
Nimepata hasira hizi tozo za mihala ya simu hadi nimechukia ccm na bunge
 
Huyu maza hatoboi
Dah ukiona wa tz wanakuwakia kwamba hutoboi ni kweli aisee [emoji3064][emoji3064][emoji3064] watu walimwambia magu hatoboi ,na kweli kilichotokea mbingu na ardhi ni shahidi.
Pia raiaa walimwambia bro.mondi hatoboi kwenye tuzo za B.E.T ,na kweli hakufanikiwa kupita kunyakua tuzo.
Sabaya naye ni hivyo hivyo.
 
Hakuna kitu kama chuki dhidi ya Rais SSH eti kwa kuwa Mbowe kakamatwa. Kama ujinga wanaofanya CHADEMA ungeachwa uendelee ningesema Taasisi ya Rais ni dhaifu. Mama ana siku takriban 120 tangu amehukua uongizi wa nchi.

Nchi imepita kwenye kipindi kigumu sana cha miaka 5 chini ya Mwendazake. Ila tumeyaona ambayo Rais SSH ametenda wala sina haja ya kuyaorodhesha hapa. Lakini Mbowe na Lissu wa CHADEMA wanataka vipaumbele vyao ndivyo mama afuate na siyo vipaumbele vya Serikali yake ya CCM.
Rais kasema Katiba isubiri nipange uchumi kwanza, CHADEMA hawwtaki. Pumbavu zao!!

Sasa akiwasikiliza wao ni nani atakuwa ndiye Rais wa Tanzania?

Hawa CHADEMA mtangulizi wa SSH alikuwa amewaacha wanahangaika na makesi Mahakamani, huyu amesema haki itendeke. Na kweli tunaona akina Mdude wanatoka na na RUFAA ya akina Mbowe inakubalika. Yote haya hamridhiki??

Mbowe anaweza akawa anawatumia wanachama wake ili arudishe nguvu zake kiuchumi kwa kumuonyesha Rais SSH kuwa Chama chake ndiyo kina nguvu sana za upinzani, hivyo Rais awe anamuogopa. Kumbuka alipoteza Bilicanas na Shamba la maua. Vijana wa CHADEMA tafuteni fedha kwenye ujasiriamali achaneni na Mbowe
Bro umeanza sana vizuri kwenye kutoa hoja ila aya za mwisho ndio nikagundua wewe nawe ni sadist kinda person [emoji38]
 
Mabavicha yaliwahi kumpenda nani huko ccm? Tuanzie hapo kwanza

Walijia Samia Suluhu Hassan ni rahisi sasa ndio wanagundua ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
 
Dah ukiona wa tz wanakuwakia kwamba hutoboi ni kweli aisee [emoji3064][emoji3064][emoji3064] watu walimwambia magu hatoboi ,na kweli kilichotokea mbingu na ardhi ni shahidi.
Pia raiaa walimwambia bro.mondi hatoboi kwenye tuzo za B.E.T ,na kweli hakufanikiwa kupita kunyakua tuzo.
Sabaya naye ni hivyo hivyo.
Mpuuzi sn huyu
 
Hiyo graph ipande, ipae, inyanyuke, haibadili chochote, acheni mama apige kazi !
Hajawa Rais ili apendwe na kila mtu.
 
Hivi ungekuwa wewe ndiyo Rais wa nchi ungefanyaje? Pale ambapo kakundi Fulani kanaamua kupingana na wewe kwa kukataa unacho shauri Bali wanataka kile tu wanachotaka wao ndiyo KIFANYIKE tena kwa amri na ubabe?

Mimi ingekuwa hali mbaya zaidi ya haya yanayotokea maana sipendi dharau kabisa wangejuta.
 
Mtaani wanasema alianza vizuri sana siku zake 100 za kwanza, wanasema nini kimemsibu mbona kapiga U-Turn ya kutisha kulikoni?
 
Utakuja kulipia haya maneno
Anaepaswa kulipa ni mimi au ni "Mama" ambae anakanyaga kanyaga katiba kila siku mchana kweupe bila soni wala haya usoni?

Unaelewa kuwa UVCCM huwa wanafanya makongamano kila siku na hakuna ambae huwa anawagusa wala kuwabughudhi?Hii ni haki?Wewe unaona kuwa hii ni sawa?
AAxZmD.jpg
 
Back
Top Bottom