Ndio, Hawa jamaa Mimi siwaelewi wanataka nini. Mama kaingia juzi tu ikulu amesema suala la katiba mpya tumpe muda kwann tusimpe huo muda anaotaka tungemuuliza tu unataka tukupe muda gani
Ni kweli katiba yetu ya sasa ina mapungufu kibao na ni zao la ccm lkn mama anakutana na makundi mbali mbali muda wa vyama vya siasa bado tungesubiri siku ya kukutana nae tuongee nae tumweleze wapi tulipokwama na ili twende mbele tuanzie wapi badala yake mnamtisha eti tutamnyoa kama tulivomnyoa mwenda zake mmmh hii Ni hatari
Ni kweli katiba yetu ya sasa ina mapungufu kibao na ni zao la ccm lkn mama anakutana na makundi mbali mbali muda wa vyama vya siasa bado tungesubiri siku ya kukutana nae tuongee nae tumweleze wapi tulipokwama na ili twende mbele tuanzie wapi badala yake mnamtisha eti tutamnyoa kama tulivomnyoa mwenda zake mmmh hii Ni hatari