nyundo2017
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,439
- 861
Kama hampangiwi mlishindwaje kwa mekoKatiba ni sheria(kanuni) iliyotungwa na watu kwa ajili ya watu.
Mh.Rais Samia hana mamlaka ya kutupangia watanzania tulio wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hampangiwi mlishindwaje kwa mekoKatiba ni sheria(kanuni) iliyotungwa na watu kwa ajili ya watu.
Mh.Rais Samia hana mamlaka ya kutupangia watanzania tulio wengi.
Kama nyie ndiyo wenye maamuzi amueni basi hiyo katiba mpya,bila uchumi kuwa mzuri hiyo hela ya kunadili katiba mpya mtaitoa wapi?
Tamkeni kuwa nyie mtagharamia mjadala wa katiba mpya
Maisha siyo ajira au mshahara ni akili yako wapo wenye ajira na mishahara na hawana maisha na wapo wasio na ajira na mishahara na wana maishaNani anataka kupiga kura yake ya kuchagua Rais, Mbunge au diwani kisha kura hiyo ikaibiwa kwa mtutu wa bunduki? Chama kiko madarakani kwa miaka 60 sasa kimefanya lipi katika kuboresha uchumi wa nchi katika hiyo miaka 60?
Ajira hakuna graduates wanasaga lami, elimu yetu ni ya hovyo sana, matibabu pia ni hovyo sana, usafiri pia ni hovyo sana. Mishahara ya wenye ajira ni ya chini mno miaka sita sasa bila nyongeza. Hebu tia akili kichwani japo KIDUCHU badala ya KUKURUPUKA.
Hela za korosho za Walala hoi wa mtwara na lindi zililipwa? Watu wa huko mkono hauendi kinywani .kuna mtu au kiongozi yoyote aliwajibishwa? Au wananchi gani unaowazungumziaWanasiasa, mjuwe sisi wananchi, hatutaki madaraka yoyote kwenye siasa, kwetu sisi twahitaji mkono wende kinywani, tukishapata mahitaki muhimu, hatuna zaidi ya hapo.
ruhusuni mikutano yahadhara ndomtajuaUchumi kwanza,tukishiba ndio tutaangalia mambo ya Katiba mpya.
Kwamba Katiba mpya ni mali ya chadema au? Kwani nani wamewatuma chadema kutusemea?
Wananchi hata hawana hizo habari wao wanataka hospital,maji,umeme,shule,Kazi na haki
Maisha ya watu wa rwanda unayajua? Kwanini wamejazana bukoba kufanya vibarua wakati uchumi wait unapaaNi maoni yako. Kuna ambao wanapata maisha bora kupitia katiba hii hii. Kuna watendaji wanaongeza pato la taifa kupitia katiba hii hii.
Rwanda hana katiba nzuri lakini nchi yao inapaa kiuchumi.
Wewe kama ni mwanamke basi unakaribia menopause na inakuja kwa hali isiyo ya kawaida na kama mwanaume gono limeshaanza kula ubongo. Tafuta daktari haraka sana either way your not on your right state of mind.Baada ya Rais Samia Suluhu kuwatumia vijana wasio na mwelekeo kumsifia ndani ya siku 100 hatimaye arudi nyumbani CCM Kulinda masilahi ya chama chake
Chadema wameshafutwa kwenye ramani ya siasa hata kama wangefanyeje
Du hii ndio akili yako imefika mwisho?Baada ya Rais Samia Suluhu kuwatumia vijana wasio na mwelekeo kumsifia ndani ya siku 100 hatimaye arudi nyumbani CCM Kulinda masilahi ya chama chake
Chadema wameshafutwa kwenye ramani ya siasa hata kama wangefanyeje
Glasgow coma scale yako ni 2 tuWewe kama ni mwanamke basi unakaribia menopause na inakuja kwa hali isiyo ya kawaida na kama mwanaume gono limeshaanza kula ubongo. Tafuta daktari haraka sana either way your not on your right state of mind.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Subiria mahakama zakimila zipo tutaendelea kuomba....nenda chitchat huku tuache wachambuzi tu.
kama mwenyekiti wenu mjinga kiasi hicho nyie wafuasi ndio vilaza kabisa mnarusha rusha miguu tuDu hii ndio akili yako imefika mwisho?
Vyama vya siasa wafundisheni vijana wenu siasa. Wafundisheni critical thinking kuwaza na kuujenga hoja ngumu badala ya kuandika ujinga ujinga.
Utakuta mtoa mada ni graduate na anategenea kupata cheo fulani.
Ndg ,ccm wasahaulifu 2025 utasikia wanakuja kunadi kujenga barabara ileile jimboni mgombea yuleyule aliabidi kujenga 2020 kwenye kampenCCM mnashida Sana. Kikwete alikuwa chadema?
naomba nijulishe ni nani huyo meko?Kama hampangiwi mlishindwaje kwa meko
Masuala ya kiuchumi hayatazamwi kiujumla kama unavyofikiria.Maisha ya watu wa rwanda unayajua? Kwanini wamejazana bukoba kufanya vibarua wakati uchumi wait unapaa
Hayo ya hospitali, maji, shule, yaliimbwa toka mwaka 1961 na CCM imeshindwa kuyatimiza chini ya katiba hii ya sasa, definitely haitoweza kuyaondoa kwa miaka 60 mingine mbele chini ya katiba hiihii.Uchumi kwanza,tukishiba ndio tutaangalia mambo ya Katiba mpya.
Kwamba Katiba mpya ni mali ya chadema au? Kwani nani wamewatuma chadema kutusemea?
Wananchi hata hawana hizo habari wao wanataka hospital,maji,umeme,shule,Kazi na haki